Jumuiya ya Ulaya na baadhi ya balozi za nchi za Magharibi kutoa tamko juu ya uchaguzi Serikali za Mitaa

Hao wanafiki tu wanaishia kusema tu.kama wako serious waondoe balozi zao, vinginevyo Ni unafiki
 
.... mfanye matendo yenu ya kipuuzi halafu lawama uzipeleke kwa TL kwasababu yupo Ubelgiji, hivi mnatuona watz wajinga kiasi gani?, nyie mna laana..
Tundu lissu muoga sana. He's banished himself....what a hero!!!
 
Halo JF siasa.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika ndani ya wizara ya nje, zimenidokeza juu ya ujio wa taarifa kutoka jumuiya ya Ulaya na baadhi ya Balozi za nchi za Magharibi kushutumu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chanzo hicho kimegoma kutaja nchi hizo licha tu ya kuniambia naisubiri tamko lao muda wowote. Hata hivyo chanzo kimetaja jumuiya ya ulaya moja kwa moja kuwa itakuwa ya kwanza kulaani kusiginwa kwa demkrasia nchini.

Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.

Pia Lisu amekuwa akitunanga kupitia mataifa makubwa hivyo sishangai hata hao mabalozi uchwara wakiandaliwa cha kusema na mtu kama huyu.
China, Russia, India, chi za kiarabu bado ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo.

Mabeberu/Boers tupa kuleeeeeeeee.
Magufuli kanyaga twende baba.
Kivuli Cha lisu kinawatesa Sana hata akikaa kimya nyie mnasikia makelele huo Ni ubaya mliomfanyia
 
Mabeberu wanaitakia nini serikali ya CCM? Mbona wanaifuatilia hivi wakati yenyewe "haiwataki?"]
 

Attachments

  • tapatalk_1558507668265.jpeg
    tapatalk_1558507668265.jpeg
    18 KB · Views: 1
Fuatilia vizuri kwenye mipango madhubuti ya maendeleo, nchi za kusini magharibi mwa Asia zimetusaidia nini. Anza na Qatar, Iran, Saudi Arabia, Kuwait, Lebanon, Bahrain, Emirates nk
Acha ungese wewe
 
.... mfanye matendo yenu ya kipuuzi halafu lawama uzipeleke kwa TL kwasababu yupo Ubelgiji, hivi mnatuona watz wajinga kiasi gani?, nyie mna laana..
Tarehe 24 uchaguzi upo palepale japo mmesusa, viongozi watapatikana na kuapishwa. Tulieni dawa iingie!!
 
Halo JF siasa.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika ndani ya wizara ya nje, zimenidokeza juu ya ujio wa taarifa kutoka jumuiya ya Ulaya na baadhi ya Balozi za nchi za Magharibi kushutumu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chanzo hicho kimegoma kutaja nchi hizo licha tu ya kuniambia naisubiri tamko lao muda wowote. Hata hivyo chanzo kimetaja jumuiya ya ulaya moja kwa moja kuwa itakuwa ya kwanza kulaani kusiginwa kwa demkrasia nchini.

Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.

Pia Lisu amekuwa akitunanga kupitia mataifa makubwa hivyo sishangai hata hao mabalozi uchwara wakiandaliwa cha kusema na mtu kama huyu.
China, Russia, India, chi za kiarabu bado ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo.

Mabeberu/Boers tupa kuleeeeeeeee.
Magufuli kanyaga twende baba.

Ww ni Mtanzania wa ajabu, kwa uchumi wetu unaokuwa kwa 99% kwa mapato yote makubwa ya ndani, miradi yote hii inayogharamiwa kwa pesa za ndani

Bado unalialia na matamko ya watu ambao ni maskini kuliko sisi?

Alafu ngoja nikwambie kitu, mchina hakuwahi kuwa rafiki na ngozi nyeusi, nenda Zambia ukaone wanavyolia
 
Tunapoelekea tutakuja kusimamiwa chaguzi zetu. Na wazungu.
Tumeshindwa kujisimamia
 
Halo JF siasa.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika ndani ya wizara ya nje, zimenidokeza juu ya ujio wa taarifa kutoka jumuiya ya Ulaya na baadhi ya Balozi za nchi za Magharibi kushutumu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chanzo hicho kimegoma kutaja nchi hizo licha tu ya kuniambia naisubiri tamko lao muda wowote. Hata hivyo chanzo kimetaja jumuiya ya ulaya moja kwa moja kuwa itakuwa ya kwanza kulaani kusiginwa kwa demkrasia nchini.

Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.

Pia Lisu amekuwa akitunanga kupitia mataifa makubwa hivyo sishangai hata hao mabalozi uchwara wakiandaliwa cha kusema na mtu kama huyu.
China, Russia, India, chi za kiarabu bado ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo.

Mabeberu/Boers tupa kuleeeeeeeee.
Magufuli kanyaga twende baba.

Ni hivi, jiwe ndio anayeharibu chaguzi ili kuhadaa umma kuwa yeye na ccm wanakubalika, ila kiukweli ni mtu anayejiandaa kuingiza nchi hii kwenye machafuko.
 
Halo JF siasa.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika ndani ya wizara ya nje, zimenidokeza juu ya ujio wa taarifa kutoka jumuiya ya Ulaya na baadhi ya Balozi za nchi za Magharibi kushutumu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chanzo hicho kimegoma kutaja nchi hizo licha tu ya kuniambia naisubiri tamko lao muda wowote. Hata hivyo chanzo kimetaja jumuiya ya ulaya moja kwa moja kuwa itakuwa ya kwanza kulaani kusiginwa kwa demkrasia nchini.

Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.

Pia Lisu amekuwa akitunanga kupitia mataifa makubwa hivyo sishangai hata hao mabalozi uchwara wakiandaliwa cha kusema na mtu kama huyu.
China, Russia, India, chi za kiarabu bado ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo.

Mabeberu/Boers tupa kuleeeeeeeee.
Magufuli kanyaga twende baba.

Porojo tupu, tumia akili upande wenu baada ya upinzani kujitoa nini wame-react, kama ni sukuma kanyaga twende mbona hamfurahii kushinda vijiji na kata zote bila kupingwa?

Tumia akili japo za kuazima ili ujue hali halisi ya huko ndani, kwanini Jafo analazimisha majina yatakuwepo kwenye ballot paper ata wakijiengua? hamuko salama kiivyo.
 
Unamkanyaga mtu, halafu unamkataza hata kulalamika kwamba kakanyagwa.
 
Fuatilia vizuri kwenye mipango madhubuti ya maendeleo, nchi za kusini magharibi mwa Asia zimetusaidia nini. Anza na Qatar, Iran, Saudi Arabia, Kuwait, Lebanon, Bahrain, Emirates nk

Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. Hizo nchi msaada wao wa maana ni kwa nchi za kiisilamu zaidi.
 
Back
Top Bottom