Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, mada maalumu

Hiyo ndo simu Ya baharia
Screenshot_20190910-170854.jpeg
IMG-20190910-WA0004.jpeg
IMG-20190910-WA0003.jpeg
 
Mabaharia fake utawajua tu......kazi kuji proud tu, Mabaharia Mabaharia sisi tumeona manyambizi sembuse nyie vibaharia vibamia wakaa makwao..
 
Kuna haja ya kuongeza saut kweli mabaharia wenzangu au volume iko sawa

Bas kama dawa kama kawa

Sisi ndo mabaharia na hili ndo genge letu

Kitu cha kuzingia baharia popote uwapo, hakikisha hutwangushi mabaharia wenzio

Ukipewa papuch ichakaze kweli kweli
Ukipewa kazi ichape kweli kweli

Demu kama ana bwawa chapa mara moja lala roma

Kazi kama hailipi achana nayo

Ni marufuku kwa baharia kuishi kwao yaan kwa mama

Ni marufuku kwa baharia kuwa shabiki wa man united

Ni marufuku kwa baharia kuwa boya boya hakuna habaria boya

Ni marufuku kwa baharia kuwa tapel hakuna baria tapel lakin baharia lazima uwe mtoto wa mjini

Na mengine mtaongeza mabaharia

Sisi ndo mabaharia na huu ndo uzi wetu

View attachment 1191637
Baharia hata kama upo iringa, makambako au njombe lazima uogee maji ya barafu
 
Back
Top Bottom