Mabaharia tumepoa sana
Baharia yupo sahihi asa mtu wa miaka 69 bado anaomba rushwa ya ngono kweli
Hawa jamaa wana kaushirikiano kama hako kademu kata graduate salama bila supp na retake kama zote kashukuru tu
Kumbe ili wamtege wamuharibie na kazi na heshima ishukeNakafahamu, kalitumwa naa Wapuuzi flani
Kuna huyu
Fidia analipwa muathirika,faini inaenda serikaliniHivi hiyo fidia na faini ni vitu viwili tofauti au kitu kimoja mwandishi kachanganya
Hawa jamaa wana kaushirikiano kama hako kademu kata graduate salama bila supp na retake kama zote kashukuru tu
Nakafahamu, kalitumwa naa Wapuuzi flani
Kumbe ili wamtege wamuharibie na kazi na heshima ishuke
Kamemharibia na chuo kamekitia aibu