Jumuiya ya kimataifa ina wasiwasi kuhusu wanawake wa Afghanistan na Haki zao

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
Marekani, Umoja wa Ulaya na nchi nyingine 19 leo zimetoa taarifa ya pamoja kuwataka watu wenye mamlaka nchini Afghanistan kuhakikisha usalama wa wanawake na wasichana nchini humo.

Taarifa hiyo imetolewa wakati ambapo hofu inaongezeka kwamba Taliban itautumia ushindi wake wa hivi karibuni kuwaondolea maelfu uwezo na kuwa na hali ya kutojiamini

Jumuiya ya kimataifa imesema ina wasiwasi kuhusu wanawake na wasichana wa Afghanistan, haki yao ya kupata elimu, kufanya kazi na uhuru wa kutembea. Jumuiya hiyo imesema iko tayari kuwasaidia kwa msaada wa kibinaadamu kwa kuhakikisha sauti zao zinasikika.

Wakati huo huo, takriban watu watatu wameuawa leo na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya wanamgambo wa Taliban kufyatua risasi wakati wa maandamano kwenye mji wa Jalalabad.
 
Wamarekani Ni wanafiki sana.....
wao ndio wamesababisha hii hali halafu tena, wanadai wanawafikilia wanawake Na watoto.....
hawana haki ya kuongelea afghan.....
wawaache waendeshe maisha yao wafghan wenyewe
Kwa miaka ishirini tangu marekani wawepo kule walibadili mfumo wa maisha kwa haki za binaadamu kufuatwa
Leo waanze tena maisha ya zamani
Sidhan
 
wanamaanisha kutembea uchi ndio haki za mwanamke?
Sio kwa unafiki huo,
Huku kuna wanawake wengi wanadhulumiwa na kutumikishwa kingono wala hawakuwahi hata kuwataja sembuse kuwasaidia,
Wanafiki wakubwa
Ngoja nistop nisije kutukana bureeee
 
Hakuna binadamu anayetembea uchi kwa maana halisi ya neno lenyewe hasa kama ana akili timamu. Huwezi ukalazimisha watu wavae kama unavyotaka wewe.

Maisha binafsi ya mtu lazima yaheshimiwe, hakuna aliyetumwa na Mungu kuja kuratibu uvaaji wa watu. Binadamu yeyote ana mapungufu yake kwenye eneo fulani fulani na ndio maana siku ile hakuna hata mmoja aliye mrushia yule mama jiwe. Watu waache unafiki.
 
Nendeni basi muwakanye maaskofu na mashehe wasidanganye watu,
Ujuwaji mwiiingi,
Na ni mashoga peke yao ndio hawatadisa wakiona mwanamke akiwa nusu uchi
Unafiki mwingi tu
 
Hakuna binadamu anayetembea uchi kwa maana halisi ya neno lenyewe hasa kama ana akili timamu. Huwezi ukalazimisha watu wavae kama unavyotaka wewe.

Maisha binafsi ya mtu lazima yaheshimiwe, hakuna aliyetumwa na Mungu kuja kuratibu uvaaji wa watu. Binadamu yeyote ana mapungufu yake kwenye eneo fulani fulani na ndio maana siku ile hakuna hata mmoja aliye mrushia yule mama jiwe. Watu waache unafiki.
Nimekupenda bure hivi wanaposema kutembea uchi uchi wanaujua?hata wakitembea uchi wao kinawawasha nini?ukivaa nguo wewe inatosha acha wanaofurahia kutembea uchi waenjoy pia as long as hawaathiri uchumi au afya ya hao wavaa nguo;au waliambiwa ukivaa gubigubi ndo tiketi ya kuiona pepo?sipendi watu wanaopenda kujiona wakamilifu kila mtu anahuru kwenye hii dunia kwa Mungu kila mtu atajibu kwa matendo yake sasa nyie malaika wa duniani mkae kwa kutulia watu waishi maisha yao mnatetea upumbavu wa hao matahira wao wanadhambi ngapi mpka wajifanye watoa hukumu!!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wameanza chokochoko zao eee, wanataka watembee uchi kama nchi zao, hawajui hiyo nchi ni ya kiisilamu! Na inaendeshwa kwa misingi ya dini!!! Waache upumbavu.
 
Nimekupenda bure hivi wanaposema kutembea uchi uchi wanaujua?hata wakitembea uchi wao kinawawasha nini?ukivaa nguo wewe inatosha acha wanaofurahia kutembea uchi waenjoy pia as long as hawaathiri uchumi au afya ya hao wavaa nguo;au waliambiwa ukivaa gubigubi ndo tiketi ya kuiona pepo?sipendi watu wanaopenda kujiona wakamilifu kila mtu anahuru kwenye hii dunia kwa Mungu kila mtu atajibu kwa matendo yake sasa nyie malaika wa duniani mkae kwa kutulia watu waishi maisha yao mnatetea upumbavu wa hao matahira wao wanadhambi ngapi mpka wajifanye watoa hukumu!!

Uchi wa mwanamke unaanzia vifundoni kama hujui.
 
Nimekupenda bure hivi wanaposema kutembea uchi uchi wanaujua?hata wakitembea uchi wao kinawawasha nini?ukivaa nguo wewe inatosha acha wanaofurahia kutembea uchi waenjoy pia as long as hawaathiri uchumi au afya ya hao wavaa nguo;au waliambiwa ukivaa gubigubi ndo tiketi ya kuiona pepo?sipendi watu wanaopenda kujiona wakamilifu kila mtu anahuru kwenye hii dunia kwa Mungu kila mtu atajibu kwa matendo yake sasa nyie malaika wa duniani mkae kwa kutulia watu waishi maisha yao mnatetea upumbavu wa hao matahira wao wanadhambi ngapi mpka wajifanye watoa hukumu!!
Kwenye kila uhuru kuna mipaka yake, watu lazima wadhibitiwe ili jamii iwe salama, ndio maana hata huko Ulaya sio kila mtu anaangalia Porno ni mpaka ufike miaka 18, lengo ni kumlinda kijana mdogo au mtoto mdogo, hivyo kwenye kila uhuru kuna mipaka yake
 
Marekani, Umoja wa Ulaya na nchi nyingine 19 leo zimetoa taarifa ya pamoja kuwataka watu wenye mamlaka nchini Afghanistan kuhakikisha usalama wa wanawake na wasichana nchini humo.

Taarifa hiyo imetolewa wakati ambapo hofu inaongezeka kwamba Taliban itautumia ushindi wake wa hivi karibuni kuwaondolea maelfu uwezo na kuwa na hali ya kutojiamini

Jumuiya ya kimataifa imesema ina wasiwasi kuhusu wanawake na wasichana wa Afghanistan, haki yao ya kupata elimu, kufanya kazi na uhuru wa kutembea. Jumuiya hiyo imesema iko tayari kuwasaidia kwa msaada wa kibinaadamu kwa kuhakikisha sauti zao zinasikika.

Wakati huo huo, takriban watu watatu wameuawa leo na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya wanamgambo wa Taliban kufyatua risasi wakati wa maandamano kwenye mji wa Jalalabad.
Kama waliyajua hayo kwanini walitangaza kuondoa majeshi? Taliban anayo namna yake ya kuongoza, wao wameshindwa wakae pembeni
 
17 Aug 2021

Fahamu Historia ya taifa la Afghanistan, nchi inayoishi ndani ya vita visivyoisha

Afghanistan - Land of endless war | DW Documentary​



On August 15, 2021, the Taliban seize power in Kabul, Afghanistan. 20 years after their defeat, they triumph and the West is shocked. This film was produced in 2019. Six Afghan women share their hopes and memories that connect them to their country. Afghanistan has been in a state of emergency for four decades. Women in particular suffer as a result, becoming pawns in ideological conflicts. This film depicts their suffering – but also their courage, and determination to control their fate. The documentary begins in the 1960s, in the peaceful Kingdom of Afghanistan. When communists take power, a war begins that will change the face of the country. Women become pawns in ideological battles. After September 11, 2001, Afghan women hope peace may return. They want to determine their own fate. But the spiral of violence continues to this day. In a first, this film is told exclusively from the point of view of Afghan women, who talk about how their lives have changed. Six women, including the former "Miss Afghanistan 1972" and the current minister for human rights, take the audience on a journey through the splendor and misery of the country. They show the tangible effects of endless war, and how women in particular have become victims of violent politics. But they also show how much courage Afghan women have. Using mostly unseen archival footage, the film shows how girls grew up, went to school and were socially engaged in the vibrant Kabul of the 1960s. But this "golden age" ended when the monarchy was overthrown and ideological battlelines were drawn between communists and Islamists. Even the Soviet Union could not maintain control, its mighty army falling to Islamist forces, who eventually took control of Kabul. Thus began a downward spiral that darkened the lives of Afghan women. 20 years ago, the fall of the Taliban seemed to open a path to a more promising future. For two decades, women and girls in Afghanistan were able to envisage and live a life in which they could decide their fate, in a country that provided ample choices and chances for them. They wanted their country back, the country they once knew. With the Taliban’s swift coup to seize power in just a few weeks, the women’s dreams seem more unattainable than ever. __ DW Documentary gives you knowledge beyond the headlines. Watch top documentaries from German broadcasters and international production companies. Meet intriguing people, travel to distant lands, get a look behind the complexities of daily life and build a deeper understanding of current affairs and global events. Subscribe and explore the world around you with DW Documentary.

Source : DW Documentary
 
Waafghanistan walikuwa wakiishi maisha yao Kabla ya huo uvamizi wa kitemi wa US.
Hongereni sana wa Taliban
Nalog off
 
Back
Top Bottom