FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,830
- 109,110
we fox sijajua hasa kwa nini unatetea upuuzi but sikulaumu sana ndo kawaida yenu.
Unanshangaza! upuuzi upi huo nilioutetea? au huzisomi post zangu? ikiwa wewe unamtetea mzinzi halafu mimi nnamponda sasa ni nani anaetetea upuuzi hapo? Ikiwa wewe unatetea kiongozi anaevunja amri ya mahakama halafu mimi nnamponda sasa ni nani anaetetea upuuzu hapo? hebu kuwa mkweli japo kwa nafsi yako. Usijisute mwenyewe, unanini wewe?