Msafiri Haule
Member
- Aug 6, 2018
- 28
- 18
Tafsiri ya kuokotwa jalalani,hahika nakuambia,ukitafsiri kwa tafsiri ya kawaida,kweli kakikosea sana chuo.
Ila ukija kutafsiri vile yeye alimaanisha ni ngumu mno kumkuta na hatia.
Narudia tena,anaweza akawa na makosa kwa lugha hiyo,ila lugha ya kiswahili ukiitambua vema inakupa mawanda mapana ya kuitumia.
Ila ukija kutafsiri vile yeye alimaanisha ni ngumu mno kumkuta na hatia.
Narudia tena,anaweza akawa na makosa kwa lugha hiyo,ila lugha ya kiswahili ukiitambua vema inakupa mawanda mapana ya kuitumia.