Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Umebugi mzee! Angalia ramani yako vizuri, nchi nyingi ambazo ni traditional tourist sources kwa Tanzania ni "partially closed"; US, Europe, China na Russia! Watalii watafurika kwenye Taifa teule Tanzania, Mungu atupe nini zaidi!
Mbona kuna ndege tayari ambazo zilionyeshwa zikiteremsha watalii. Kama huamini taarifa kwamba kuna wengine zaidi waliofanya booking mpaka Agosti, si uende tu hapo uwanjani uwahoji wanaoingia wanatokea wapi kwa kuwa nchi 126 zimefunga anga zao.
Ushauri wa bure kunywa sumu ufe ili kuonyesha msisitizo huupendi huu Utawala wa CCM.
Ushauri wa bure kunywa sumu ufe ili kuonyesha msisitizo huupendi huu Utawala wa CCM.
Chadema mpo km misikule
Hao watalii wetu watatokea Afghanistan au Iraq?Chadema mpo km misikule
Haka kapicha naona umekomaa nako alafu hamn mtu anakushobokeaUmetumia neno zuri sana-"Utawala"!View attachment 1482491
Dogo uko shallow sana bora unyamazeMbona kuna ndege tayari ambazo zilionyeshwa zikiteremsha watalii. Kama huamini taarifa kwamba kuna wengine zaidi waliofanya booking mpaka Agosti, si uende tu hapo uwanjani uwahoji wanaoingia wanatokea wapi kwa kuwa nchi 126 zimefunga anga zao.