Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Katika hali ya kushangaza mh judge lewis makame ajichanganya kwenye kutaja matokeo ya mwisho ya urais.hivi ndivyo alivyosema:
valid votes-8398394
mziray-96933
kikwete-5276827
slaa-2271941
lipumba-695667
rungwe-26388
Tlp-17482
dovutwa-13176
nikifanya mahesabu ya kujumlisha ninapata utofauti wa vichwa 20 kati ya valid votes na kura walizopata wagombea.CHUNGUZA!!
valid votes-8398394
mziray-96933
kikwete-5276827
slaa-2271941
lipumba-695667
rungwe-26388
Tlp-17482
dovutwa-13176
nikifanya mahesabu ya kujumlisha ninapata utofauti wa vichwa 20 kati ya valid votes na kura walizopata wagombea.CHUNGUZA!!