KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
mwalimu aliwahi kuifagilia chadema kwa sera nzuri,who knows labda angekua na kina lema saa hizihivi mwalimu alijua hatokufa? Kwa nini alituacha na matatizo haya ya makundi ndani ya hii ccm yake...kama kweli ni baba wa taifa angeivunja ccm ziwe mbili, angeshinikiza katiba mpya isiyowapa nguvu hawa mafisadi...tanzania ingekua ya neema...