Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,694
Marehemu Michael Jackson alinunua jumba katika uhai wake kwa dola za Kimarekani milioni 19 mwaka 1987 , na kulifanya kuwa makazi yake wakati wa umaarufu wake
Alibadilisha jumba hilo na kuwa eneo la burudani , akijenga eneo la kufuga wanyama mbali na ukumbi wa chini ya ardhi ambapo aliwafurahisha watoto na familia zao.
Miaka 1990 na 2000 , Jumba hilo lilichunguzwa sana kutokana na madai ya udhalilishaji watoto kingono dhidi ya msanii huyo.
Bwana Burkle ni mwanzilishi na msimamizi mwenza wa Kampuni ya Yucaipa Companies, LLC na ana utajiri wa dola za Kimarekani Bilioni 1.4
BBC