Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
Nilikuwa nafatilia news kutoka Tv nimeona jinsi wananchi wa Tunisia walivyokasirika na kuamua kuvamia Mansion la aliyekuwa Raisi wao wakichoma moto na kupora kila kitu kilichokuwemo mle ndani ya lile jumba la kifahari.
Wlikuwa wakisema hizi zote ni pesa zetu, mabilioni yaliyotumika kujenga hapa ndio yaliyosababisha kila kitu kupanda ndani ya nchi yetu na maneno mengine mengi tu.
Nimejifikiria sana , J ehii kitu itakuja tokea pia nchini kwetu? maana mpaka sasa naona Mkwele na viongozi wenzake wanzidi kujijengea makasili na Mansions kubwa zaidi makwao bila kujali hali halisi ya watanzania amabao hata mlo wa siku ni kazi.
Mara tusnasikia kuna walimu tangu mwezi wa kumi hawajalipwa mishahara yao, mara kuna tetesi kuwa mwezi ujao hakutakuwa na mishahara, kisa kuna ujenzi wa viongozi wetu hivyo kila kitu lazima kisimame kwanza.
Mimi nadhani viongozi wetu asipoangalia wataishia kukimbilia nchi za jirani maana wananchi hawatakuwa na furaha nao hakika na wao hawatakuwa na Amani , na suluhisho lao litakuwa ni kama la huyo Raisi wa Tunisia alivyofanya, pamoja na utajiri wake na utawala wa miaka zaidi ya 20 amesoma nyakati na kuona kuwa hapa hapakaliki.
Wlikuwa wakisema hizi zote ni pesa zetu, mabilioni yaliyotumika kujenga hapa ndio yaliyosababisha kila kitu kupanda ndani ya nchi yetu na maneno mengine mengi tu.
Nimejifikiria sana , J ehii kitu itakuja tokea pia nchini kwetu? maana mpaka sasa naona Mkwele na viongozi wenzake wanzidi kujijengea makasili na Mansions kubwa zaidi makwao bila kujali hali halisi ya watanzania amabao hata mlo wa siku ni kazi.
Mara tusnasikia kuna walimu tangu mwezi wa kumi hawajalipwa mishahara yao, mara kuna tetesi kuwa mwezi ujao hakutakuwa na mishahara, kisa kuna ujenzi wa viongozi wetu hivyo kila kitu lazima kisimame kwanza.
Mimi nadhani viongozi wetu asipoangalia wataishia kukimbilia nchi za jirani maana wananchi hawatakuwa na furaha nao hakika na wao hawatakuwa na Amani , na suluhisho lao litakuwa ni kama la huyo Raisi wa Tunisia alivyofanya, pamoja na utajiri wake na utawala wa miaka zaidi ya 20 amesoma nyakati na kuona kuwa hapa hapakaliki.