toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,838
- 10,260
Kuna mchungaji aliwahi sema duniani ukifa maskini we ni fala. Ndiyo maana kuna makanisa kila jpili zinatoka gari za SGA kukusanya mzigo.
Anthony Lusekelo
Kuna mchungaji aliwahi sema duniani ukifa maskini we ni fala. Ndiyo maana kuna makanisa kila jpili zinatoka gari za SGA kukusanya mzigo.
Wapi huko? Ona wanavyoishi maisha ya kifahari wakati waumini wao wanaishi maisha ya kikapuku
Mbona kawaida sana
Mkuu Pond Basi na sisi raia wa anchi tuishi pia kifahari Sababu watawala wetu wanaishi kifahari kuliko hata Kakobe Tena kwa Kodi zetu ambazo Ni nyinngi kuliko hata Sadaka tutoazo kwenye Nyumba za IbadaBasi na waumini wake nao waishi kifahari basi
Waumini ni kondoo hawapaswi kuishi maisha ya kifahali wasubiri mbinguni kama tutatoboaWapi huko? Ona wanavyoishi maisha ya kifahari wakati waumini wao wanaishi maisha ya kikapuku
Kuna mchungaji aliwahi sema duniani ukifa maskini we ni fala. Ndiyo maana kuna makanisa kila jpili zinatoka gari za SGA kukusanya mzigo.
Nitaenda kuiona mkuu ,njia ya shoppers plaza Mbezi beach chini?Hiyo nyumba ni ya kifahali sana...ukijaribu kupita usiku utaona hadi madhari ya kifahali ya ndani. Ipo pale mbezi chini raibow junction ya kupandisha kuja tangi bovu kulia...imesimama hatari
Bibi harusi anakuja kufunga ndoa akiwa juu ya boda bodaWapi huko? Ona wanavyoishi maisha ya kifahari wakati waumini wao wanaishi maisha ya kikapuku
upo sahihi kabisaNi kweli Mungu alikuleta kuitawala Dunia na Siyo Dunia ikushinde
Hii nyumba mbona kuna interview moja hivi niliiona YouTube ambayo ilionyesha kuwa ni kanisa ndio liliamua kumjengea kama zawadi baada ya kulitumikia kanisa kama kiongozi wao kwa muda mrefu
Onyesha uongo uko wapi mwanakondoo mwenzanguVijana tuache kueneza uongo usiokuwepo kama jamani guys tuache hizi mambo za uongo uongo
Sasa wewe ulitaka aseme kajenga yeye ili walimwengu au mamlaka ziaanze kumhoji pesa katoa wapi ?Hii nyumba mbona kuna interview moja hivi niliiona YouTube ambayo ilionyesha kuwa ni kanisa ndio liliamua kumjengea kama zawadi baada ya kulitumikia kanisa kama kiongozi wao kwa muda mrefu
Una mapepo ya upumbavu wewe.Ni nzuri na Inamfaa Sana kwa Hadhi yake ya Mhubiri wa Kimataifa...Angalau hata akipata wageni wa Kimataifa ana pa kuwapokea.