Jumatatu shule zinaanza kufunguliwa: Serikali na Shule binafsi tuwekeni wazi kuhusu ada elekezi

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,486
2,332
Ni kama vile kumeibuka sintofahamu kwa wazazi wanaosomesha watoto wao shule binafsi hadi sasa hawaelewi ni kiwango gani cha ada wanatakiwa kulipa.

Siku mbili zilizopita nilijaribu kuzungumza na mzazi mmoja anayesomesha wanae shule za private anashangaa anatakiwa kulipa kiasi gani kwani shule zimenyamaza kama vile zinawatega wazazi wajiongeze wao wenyewe.

Napenda kuiomba serikali kuweka wazi jambo hili ili wananchi tuelewe
 
Last edited by a moderator:
mbona hata mm naongea na wazazi wanaosomesha watoto shule binafsi lakini hawajalalamikia hayo?
 
Ni kama vile kumeibuka sintofahamu kwa wazazi wanaosomesha watoto wao shule binafsi hadi sasa hawaelewi ni kiwango gani cha ada wanatakiwa kulipa.

Siku mbili zilizopita nilijaribu kuzungumza na mzazi mmoja anayesomesha wanae shule za private anashangaa anatakiwa kulipa kiasi gani kwani shule zimenyamaza kama vile zinawatega wazazi wajiongeze wao wenyewe.

Napenda kuiomba serikali kuweka wazi jambo hili ili wananchi tuelewe
Kila shule makini ilishaweka kwenye report form kiwango cha ada kinachotakiwa kulipwa shule zitakapofunguliwa,so unaposema shule zimenyamaza ni kauli ya kisiasa,kwa mantiki hiyo ni kuendelea kusubiri patiently tamko la serikali kama litatoka ni kulizingatia hilo kwa kuwa hakuna aliye juu ya serikali,na kama halitatoka basi ni kwenda sawa na maelekezo ya shule kwenye report form.
 
Ni kama vile kumeibuka sintofahamu kwa wazazi wanaosomesha watoto wao shule binafsi hadi sasa hawaelewi ni kiwango gani cha ada wanatakiwa kulipa.

Siku mbili zilizopita nilijaribu kuzungumza na mzazi mmoja anayesomesha wanae shule za private anashangaa anatakiwa kulipa kiasi gani kwani shule zimenyamaza kama vile zinawatega wazazi wajiongeze wao wenyewe.

Napenda kuiomba serikali kuweka wazi jambo hili ili wananchi tuelewe
Jombaaa, umekula ada za watoto wewe..!
 
Ukimsubiri magu shauri yako, tumeshalipa wenzio jumatatu watoto wanaenda shule, serikali ikirekebisha basi Itakuwa ni balance C/D hiyo June
 
Kuna changamoto hapo maana report za shule zilitoka napema kuliko tamko la serikali mpya ....sasa ada elekezi ilipaswa itolewe na iwekewe msisitizo km inavyofanyika sas kwa waajiri na mikataba ya wafabyakazi. labda serikali ilikurupuka kwenye hili ....
 
Kwa kweli hili bado ni tatizo,kama serikali kama inawatega wazazi kwa sababu walisema wangetoa ada elekezi toka Dec 15 lakn mpaka Leo hakuna kitu
 
Ni kama vile kumeibuka sintofahamu kwa wazazi wanaosomesha watoto wao shule binafsi hadi sasa hawaelewi ni kiwango gani cha ada wanatakiwa kulipa.

Siku mbili zilizopita nilijaribu kuzungumza na mzazi mmoja anayesomesha wanae shule za private anashangaa anatakiwa kulipa kiasi gani kwani shule zimenyamaza kama vile zinawatega wazazi wajiongeze wao wenyewe.

Napenda kuiomba serikali kuweka wazi jambo hili ili wananchi tuelewe
ndio maana wenye kuelewa mambo walisema kwamba, Makufuli hakujibanga kuwa Rais ilitokea kwa bahati tu,baada ya yule aliyekuwa amepangwa kupigwa chini
 
Kwa kweli hili bado ni tatizo,kama serikali kama inawatega wazazi kwa sababu walisema wangetoa ada elekezi toka Dec 15 lakn mpaka Leo hakuna kitu
Natumai itatoka mapema iwezekanavyo maana waziri na makatibu wakuu wamepatikana.
 
Ni kama vile kumeibuka sintofahamu kwa wazazi wanaosomesha watoto wao shule binafsi hadi sasa hawaelewi ni kiwango gani cha ada wanatakiwa kulipa.

Siku mbili zilizopita nilijaribu kuzungumza na mzazi mmoja anayesomesha wanae shule za private anashangaa anatakiwa kulipa kiasi gani kwani shule zimenyamaza kama vile zinawatega wazazi wajiongeze wao wenyewe.

Napenda kuiomba serikali kuweka wazi jambo hili ili wananchi tuelewe
Kama mwanao anaanza form 1 au darasa la kwanza kwenye shule X ina maana ulipewa joining instruction na kama anaendelea na madarasa ya mbele pia ulipewa report ya mwanao ambayo bila shaka ilionesha unachodaiwa na unachotakiwa kulipa mwaka unaofuata, yafate hayo. Hayo mambo ya ADA elekezi sijui nini achana nao cause hayajatolewa officially.
Lakini hebu pia tujadiri kidogo; hivi ni kweli ADA kwa shule binafsi ADA ya Tsh 600,000/= inatosha kweli? Binafsi sidhani kama kuna utafiti wowote uliofanyika ku prove hilo. Pesa hiyo ilipe bills mbalimbali kama umeme, maji nk; ilipe walimu na other staff; inunue chakula na vinywaji, gharama za office kama kalamu, computer, printers nk!? Tuache kuishi maisha ya kufikirika, tuwe watu wa fact; tusidhani kama tupo kwenye siasa za UJAMAA na kujitegemea, tupo kwenye UBEPARI wa kujitegemea! Muhimu serikali iimarishe shule na hospitali zake ili hata wanaopeleka watoto wao shule binafsi waache cause kuna kitu kinawasukuma kuwapeleka watoto wao kule na kitu hicho kinajulikana na kila mtu.
 
Back
Top Bottom