shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,325
heshima kwenu brothers and sisters
Jumatatu nawawekea hela wajapan.be foward kwa mara ya kwanza kulipia gari yangu ya kwanza maishani. wamenitumia profoma invoice wakitaka hela zitumwe through telegraphic transfer maarufu kama TT ili wanitumie gari niliolichagua..
to be honest I am scared kuibiwa pesa zangu nilizozitoa kwenye kibubu. kama kuna mtu ana chochote cha kunishauri plz nishauri...
hawa jamaa account zao za invoice ni.za kweli na mliowahi kuaigiza gari kampuni hiyo naomba mnishauri plz..
pay trade nasikia hairuhusiwi nowdays..
Jumatatu nawawekea hela wajapan.be foward kwa mara ya kwanza kulipia gari yangu ya kwanza maishani. wamenitumia profoma invoice wakitaka hela zitumwe through telegraphic transfer maarufu kama TT ili wanitumie gari niliolichagua..
to be honest I am scared kuibiwa pesa zangu nilizozitoa kwenye kibubu. kama kuna mtu ana chochote cha kunishauri plz nishauri...
hawa jamaa account zao za invoice ni.za kweli na mliowahi kuaigiza gari kampuni hiyo naomba mnishauri plz..
pay trade nasikia hairuhusiwi nowdays..