jumatatu.j'nne....hadi j'pili zilitungwa na nani?

nmekupata marejesho ila si kila mtu yuko tz na pia si kila mtu anaudhuria kanisani au msikitini,kwahiyo ukifanya kama faiza anavofanya kutufunza yale ayajuayo juu ya mada inasaidia sana,kwa ujumla jamii inanufaika.
Kama unaweza tuelezee ni nini mnafundishwa kama kina uhusiano na mada hapo juu.

Mpaka sasa kwa maelezo ni kwamba wanadamu(waislamu) ndo wametunga haya majina ya siku na msingi wake ni waarabu kutokana na dini na lugha waliyoileta.na influence yao imekuwa kali mpaka hata wasioamini uislamu wamejikuta wanatumia majina hayo.
 
Niliwahi kusikia kuwa hapo zamani kulikuwa na watu(sina uhakika ni watu gani) walikuwa wanaabudu miungu yao. Sasa ukristo ulipoingia hawa watu walikubali kuingia kwenye ukristo lakin kwa masharti kwamba lazima waendelee kukumbuka miungu yao japo kwa kuyataja majina tu. Kwa ivo january mpaka dec ni majina ya hy miungu.
Kwa kifupi january alikuwa mungu mume na aliyekuwa anaabudiwa siku 31 kwa mwaka na inasemekana huyu alikuwa hana muonekano wa nyuma yani ukimtazama mbele unaona sura yake na pia ukimtizama nyuma badala ya kuona mgongo unaona sura tena.
Pili february alikuwa mungu jike ambae alikuwa anaabudiwa siku 28 kwa mwaka na inasemekana alikuwa ni mke wa january.
Kwahiyo miezi yote ilipangwa kwa mtiririko huo

Na kuhusu siku monday linatokana na neno mooday na ni cku ambayo walikuwa wanaabudu mwezi
Tuesday alikuwa ni mtoto aliyezaliwa na mjane mmojawapo wa miungu wa2 baada ya huyo mungu m2 kufarik

weds na thursday nimesahau kidogo.

Friday ilikuwa inahusisha mahusiano zaid hasa kwa wanandoa

saturday ilikuwa siku ya mashetan na sunday ilikuwa ni siku ya kuabudu jua.

Hii nilisimuliwa zamani sana na mwl wangu mmoja nikiwa form one kipindi hicho, nimejaribu 2 kuelezea ninayoyakumbuka kama kuna sehemu nimekusea niko radhi kurekebishwa.
 
mh marejesho naomba reference ya hayo majina nikajisomee.kwa hiyo kwenye hicho kitabu hakuna januari mpaka desemba?unafahamu zilitoka wapi na maana zake?

JF elimu tosha kwa kweli

Elf Miaka, nisamehe kwa kukacha topic pasipo kutoa majibu ... Nimerudi na majibu yafuatayo.... (Tamuzi na Abu, nitakutafutia ref zaidi)


MIEZI YA KIDUNIA
MIEZI YA KIUNGU
MAANDIKO MATAKATIFU

March

Abibu /Nisani
(Mwezi wa kwanza)
Kutoka 13:4
Kutoka 12:2
Kutoka 23:15
Esta 3:7

April

Zivu
(Mwezi wa pili)

Mwanzo 7:11
1 Falme 6:1

May

Siwani
(Mwezi wa tatu)

Kutoka 19:1
Esta 8:9

June

Tamuzi
(Mwezi wa nne)

2 Falme 25:3
?????????????????????

July

Abu
(Mwezi wa tano)

Hesabu 33:38
????????????????????

August

Eluli
(Mwezi wa sita)

1 Nyakati 27:9
Nehemia 6:15

September

Ethanimu
(Mwezi wa saba)

1 Falme 8:2

October

Buli
(Mwezi wa nane)

1 Falme 6 :38

November

Kisleu
(Mwezi wa tisa)

Nehemia 1 :1
Ezra 10 :9

December

Tebethi
(Mwezi wa kumi)

Esta 2:16
Mwanzo 8:5

January

Shebati
(Mwezi wa kumi na moja)

Kumb 1:3
Zekaria 1 :7

February

Adari
(Mwezi wa kumi na mbili)

Esta 3 :7
Ezra 6:15
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom