Pale kiongozi anapojali madaraka kuliko uhai.Ni jambo jema!
Hata ubatizo wa watoto wachungaji wa KKKT wanatumia jagi kummwagia maji mtoto kichwani badala ya mikono.
Leo askofu mkuu Dr Shoo ameendesha ibada mjini Tabora akiwa amevalia barakoa lakini 95% ya waumini akiwemo RC na DC hawakuvaa barakoa.
Wavae barakoavipi kuhusu kwenda kuungama kwa padri kumepigwa marufuku ? sababu umbali wa muungamishaji na anayeungama ni kama zero distance hawawezi pumuliana wadudu wa Corona? kanisa limeagizaje? watu waungame kupitia watsap au online?
Maji ya baraka hayapo tena plus kubusu msalaba hakutakuwepo zaidi ya kuinamia tu... cha msingi ni kuonyesha ishara na kuwa na moyo wa kumpenda Yesu wa msalabamaji ya baraka vipi yanaendelewa kuchovywa na kila mtu kufanya ishara ya msalaba? padre mgawa sakrament atakuwa anavaa gloves ? vipi kuhusu kubusu pete ya askofu na papa marufuku?
vipi kuhusu ijumaa kuu kubusu msalaba haiwezi ambukiza corona ? kanisa limeelekeza nini?
Huyo Shoo nae ana kiherehere kama yule Bagonza tuNi jambo jema!
Hata ubatizo wa watoto wachungaji wa KKKT wanatumia jagi kummwagia maji mtoto kichwani badala ya mikono.
Leo askofu mkuu Dr Shoo ameendesha ibada mjini Tabora akiwa amevalia barakoa lakini 95% ya waumini akiwemo RC na DC hawakuvaa barakoa.
Mbona una hasira sana?Wewe ni hopless sana, una kisirani cha kijinga kwasababu wakatoliki walikuwa wa kwanza kuwataka waumini wao wachukue tahadhari kujikinga na Corona, ulitaka wadanganywe waendelee kufa na kuugua Nimonia?
Wacha upumbavu, hao waumini wakienda kuungama watavaa barakoa.
Je hiyo siyo kujisalimisha kwa shetani?Maji ya baraka hayapo tena plus kubusu msalaba hakutakuwepo zaidi ya kuinamia tu... cha msingi ni kuonyesha ishara na kuwa na moyo wa kumpenda Yesu wa msalaba
Uko sahihi Yesu aliposema ya kaisari aachiwe kaisari alikuwa hataniiNdio,ubovu wa Mambo ya Mungu kuingiliwa na mwanadamu,mnaacha kufuata anayoamlisha Mungu,tunamfuata mwanadamu ambaye akifa atahukumiwa kama sisi
una hoja nzitoJe hiyo siyo kujisalimisha kwa shetani?
Njia ya kuepuka corona ni kutoenda kanisani au misikitini tu; watu wasali kwa njia ya mtandao, redio na TV tu. Sadaka itumwe kwa Mpesaitawezekana tu
kwa hiyo mnajikinga kanisani sababu mnamtuhumu Mungu kuwa aweza kuwa kidudu cha corona kuwaambukiza?hivyo vyote vinafuatwa vyema kabisa
pesa hawajasema zivalishwe barakoa na watoa sadaka wavae gloves? Pesa hazitakiwi kuvalishwa barakoa? Maaskofu wanasemaje kuhusu pesa kuvalishwa barakoa? ukitilia maanani kuwa mtoa sadaka aweza kuwa anatoka mijasho viganjani au kaipata pesa kwa jasho au kapokea kwa mtoka jasho la corona eg kwenye daladala nk?Mimi huwa nawaza yale matoleo hasa sadaka,zile pesa tunazishika na wao pia. Kwa kifupi huu ugonjwa umetushika pabaya
na hela za sadaka noti na coins zioshwe maji tiririka au?Tuendelee kunawa na maji tiririka
Kwa dini katoliki sasa inategemea hali ya hewa na dunia ? haiko static inategemea dunia inaendaje sio imani ya mitume na mababa wa kanisa isiyobadilika inasemaje? inaenda na fashion ya dunia na haki ya dunia au?Maji ya baraka hayapo tena plus kubusu msalaba hakutakuwepo zaidi ya kuinamia tu... cha msingi ni kuonyesha ishara na kuwa na moyo wa kumpenda Yesu wa msalaba
wewe ulitakiwa upewe upapa kanisa katoliki badala ya huyu Papa Francis aliyepo asiyejielewaNdio,ubovu wa Mambo ya Mungu kuingiliwa na mwanadamu,mnaacha kufuata anayoamlisha Mungu,tunamfuata mwanadamu ambaye akifa atahukumiwa kama sisi
na hela za sadaka noti na coins zioshwe maji tiririka au?
Kwa dini katoliki sasa inategemea hali ya hewa na dunia ? haiko static inategemea dunia inaendaje sio imani ya mitume na mababa wa kanisa isiyobadilika inasemaje? inaenda na fashion ya dunia na haki ya dunia au?
Mambo mengine inahitaji ujifikiri ndipo useme hayo yote ngoja nikuambie Mungu ni mkuu kuliko wote na vyote hivyo amekupa/ametupa akili au uwezo wa kutambua mema na mabaya.kwa hiyo mnajikinga kanisani sababu mnamtuhumu Mungu kuwa aweza kuwa kidudu cha corona kuwaambukiza?
kuwa mkiwa busy kumuabudu yeye atakuwa busy kuwagawia Corona?
Kwa hiyo shetani wa Corona yuko hadi kanisani na ana nguvu ya kueneza Corona kuliko nguvu ya Mungu kulinda waumini wasipate Corona wakiwa wanaabudu? NANI MWENYE NGUVU IBADANI KATI YA MUNGU NA SHETANI? INAONYESHA WAZI KWA WAKATOLIKI SHETANI NI TISHIO
kwa hiyo mambo yote ya kuchovya maji wakati ukiingia kanisani na kufanya ishara ya msalaba na ukitoka,kubusu msalaba au pete ya askofu ,kupaka majivu kwenye paji la uso ni nk ni mafundisho ya kibinadamu yasiyo na uhusiano na Mungu yasiyo na maana yeyote? Sio Mungu aliagiza ni mambo ya kidunia ya kujitungia ambayo yaweza badilishwa muda wowote ?Hivyo basi kama unajua kwamba ugonjwa unaenezwa kwanjia ya hewa,kutonawa mikono,majimaji mfano jasho, n.k na wakati huo unajua namna ya kujikinga kwahiyo ukaacha kujinga ukitarajia Mungu aje akukinge wakati huo wewe mwenyewe hutaki kujikinga Usiwe kama wagalatia.
Hivyo ishi na kumtumaini Kristo ili uje upate thawabu
aliyekuambia Ishara ya msalaba haipigwi nani?kwa hiyo mambo yote ya kuchovya maji wakati ukiingia kanisani na kufanya ishara ya msalaba na ukitoka,kubusu msalaba au pete ya askofu ,kupaka majivu kwenye paji la uso ni nk ni mafundisho ya kibinadamu yasiyo na uhusiano na Mungu yasiyo na maana yeyote? Sio Mungu aliagiza ni mambo ya kidunia ya kujitungia ambayo yaweza badilishwa muda wowote ?