YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
sema kifupi mafundisho mengi ya katoliki ni ya kutungwa na wanadamu ndio maana yaweza badilika kutegemea dunia inavyoenda au hali ya hewa au magonjwa ikiwemo Corona .Yangekuwa ni ya Mungu yasigeguswaaliyekuambia Ishara ya msalaba haipigwi Mani?
Haina haja ya kuendelea kubishana na wewe maana sikuelewi unarudia kitu unacholekezwa
Usiwe sawa na Mpinga kristo