Jumapili ijayo nataka kwenda kansani na mtoko huu,kuna shida?

Unaenda kanisa lipi?
Kama ni Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume, hatuna muda wa kusoma maandishi ya nguo ya muumini, labda uwe umevaa vibaya lakini sio maandishi ya nguo yako.
naenda kwa MAMA mkuuu

mlima wa moto
 
Nataka nikitoka kanisani chap nipitie kwenye kikao cha ofisi,

sasa kwenye vikao mara nyingi huwa tunakuaga full gwanda

Juu lazima tutupie tshirt
View attachment 1228242

Chini suruali vaaa yoyote ile,so ntanyuka cardet yangu 1 na ngwasuma yangu chini

Gari ni lazima niwe nalo so ntaingia church na ndinga ya ofisi kama kawaida

View attachment 1228244
Kutokana na mvua za hapa na pale nadhani sitokosa mwamvuli kwa ajili ya vimanyunyu

kwakua wafanyakazi tunapewagwa kila kitu cha matumizi ya kila siku,mimi tayari nna mwamvuli wangu

View attachment 1228247

Sasa ndugu zanguni hebu tusaidiane kushauriana huuu mtoko ni sahihi au

ntaonekana kondooo ninaekaribia toroka zizini???

Wameleta na cover za bible sema sijafanikiwa kuipata ila

sijajua sasa kwa mtoko huu ntachukuliwaje?
Matendo ya Mungu si ya binadamu.. Ukifanya kwa dhihaka....
 
Bwana Controla baada ya misa ubaki..
Nafikiri ndilo litakuwa tangazo la Mwisho siku hiyo.
ha ha ha

wanataka wanieke kitimoto

Huwa nikishatoa sadaka natorokaga,

maana kunakuaga hamna jipya.

Kufika hadi mwisho wa ibada,ilikua enzi za sunday school
 
Aisee nakuonea wivu ile mbaya, yaani unakwenda kanisani umevaa full nondo....T-shirt, unasindikizwa na gari la Konyagi huku unaingia kanisani umeshika mwamvuli. Aisee hapa hata Padri akikuona atakufutia dhambi na kulamba miguu yako.
kweli mkuuu??

asante kwa kunitia moyo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom