Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,586
- 50,682
- Thread starter
- #61
Nilikuwa nikinywa pombe nyingi lakini kipindi fulani nikatest hii kitu pombe ikanikataa yenyewe. Juzi nikiwa naperuzi nikakuta pia Wikipedia wameielezea bangi kuwa ni dawa ya kumwachisha mtu pombe
Aise...endelea kupiga pombe mkuu achana na majani