denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,937
1. Kwahiyo na wewe unakiri kwamba miaka 50 yote toka tupate "uhuru" chini ya CCM na uongozi wake hatuna uchumi.?Umetumia muda mwingi kuandika mambo mengi ambayo hayana uhusiano kabisa, sasa Tanzania itakuwaje na anguko la Uchumi? Uchumi upi huo uliokuwa nao TZ mpaka ipate anguko la uchumi?
Nchi ya GDP ya chini 45 Billion (US) tu na watu zaidi ya milioni 40, halafu unaongelea anguko la uchumi kana kwamba sasa hivi kuna kupanda kwa uchumi au kumeshawahi kuwepo na Uchumi mkubwa hadi uongelee anguko la Uchumi?
2. Na je, kumbe anayokuwa anaongea Beno Nduru, ni kuruka sarakasi tu, hatuna uchumi wowote?
3. Kwa uelewa wako, ili uchumi upande inatakiwa iweje, na ili uchumi ishuke inakuwaje pia?