Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,698
- 2,346
Kuna watu ni narrow mindedness, yaani yeye akiona mshahara tu, anadhani we are doing better economically. Kwa mawazo haya tutaendelea kuwa taifa la Wadanganyika kwa karne nyngne zijazo.Ukiwa muajiriwa una uhakika wa mshahara na hautoona utofauti wowote. Kwa wafanya biashara ndio wanajua hali halisi ya uchumi.
Mfanyabiashara ndio anajua hali ya uchumi wa nchi ukoje na sio muajiriwa anaetegemea mshahara wa mwisho wa mwezi.
Nenda kariakoo ukaulize hali ya biashara ikoje ndio utajua.
Tumekuwa subjective wa ushabiki wa kivyama na kuondoa hali ya objectivity katika fikra zetu. No concrete argument
Sent using Jamii Forums mobile app