- Thread starter
- #21
Nenda hauna impact yoyote
Mwenye impact utakuwa wewe mwenye ki ID cha msa(h)ada?
Hiiiiii bagosha!
Nenda hauna impact yoyote
Wewe kuna roho za kuzimu zinakusukumia shimoni na wapambe wa hizo roho, walioshimoni tayari wayakupigia makofi ili ukaungane nao na ndiyo sababu unakitete. Umejaa hofu na kutokuamini unachotaka kufanya, na ndiyo sababu unatafuta kutiwa moyo na kujifariji. Kama wewe unaamini katika Mungu,( sio mungu wala miungu) kabla ya kusikiliza hizo kelele zinazokusukumia shimoni, omba sala hii.J3 tuna jambo letu. J4 pia tuna jambo letu kulingana na maelekezo ya wizara ya afya.
Hata hivyo wengi wetu tuliipigania hatua hii, wakati SSH na mwendazake wakifanya porojo zao kuhusu ugonjwa huu. Hivyo katu asituhesabu kuwa tutakuwa tumejitokeza kumwunga mkono yeye kwa lolote kuhusiana na hii chanjo.
Ni vizuri pia akafahamu kuwa hata kama asingekuwa kachanjwa sisi tungechanjwa tu.
Vile vile asisahau ukakasi aliotuletea kutokea kwenye kadhia ile ya Mwanza, hapo ndiyo kabisa ametukata stimu!
"J4 nitachanjwa. Ila tafadhali Mama SSH usinihesabu katika list ya watakaokuwa wamejitokeza kuchanjwa eti kwa kuwa umewa 'inspire.' Kwa hakika isingekuwa kwa hali ya huu ugonjwa ilivyo, tungehamasishana dhidi yako."
Niliweke hili wazi, "nilikuunga mkono sana, lakini si baada ya siku zako 100 ofisini, na hasa ulipokuja kutuonyesha rangi zako halisi ulizokuwa bila shaka umezificha."
Nitakuwa mnafiki mno kwa kutokukupa ukweli huo kinagaubaga.
Kumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
Habari ndiyo hiyo.
Halafu takataka nayo ikakomentiUmeandika takataka tupu
Wewe kuna roho za kuzimu zinakusukumia shimoni na wapambe wa hizo roho, walioshimoni tayari wayakupigia makofi ili ukaungane nao na ndiyo sababu unakitete. Umejaa hofu na kutokuamini unachotaka kufanya, na ndiyo sababu unatafuta kutiwa moyo na kujifariji. Kama wewe unaamini katika Mungu,( sio mungu wala miungu) kabla ya kusikiliza hizo kelele zinazokusukumia shimoni, omba sala hii.
"Ee Mungu Mwenye Enzi, Mumba wa bingu na nchi na vitu vyote, ninajua wewe upo, ninajua wewe unasema, na ninajua weewe ndiye hiyo Kweli na hakuna jambo lililofichika machoni pako. Kwa akili zangu na kibinadamu, na kwa ushawishi wa kelele za binadamu wenye maarifa kulilko mimi, nimeshawishika katika maamuzi haya. Kabla sijatimiza azma yangu, naomba unithibitishie kama maamuzi yangu haya ninayokusudia kuyatimiza yako katika MAKUSUD NA MPANGO WAKO. Ninaomba usema na mimi ili nifanya maamuzi sahihi. Katika Jila la Yesu Kristo Aliye hai milele nimeomba, Amen".
Utakapo pata uthibitisho kutoka kwa Mungu, usiende tena kwa wapambe kuomba ushauri kwa sababu Mungu yuko juu ya yote. Ukivuka hatua hii, tuwasiliane nikuambie nini cha kufanya baada ya hapo.
Huna sababu ya kunijibu. Hata ukinitukana kwa majina yoyote, I don't care kwa sababu hata Bwana wangu Yesu Kristo, alitukanwa na alishaniambia kwamba nitafanyiwa kiwa aina ya fedhuli. Kama vile Bwana wangu pamoja na kashfa zote vile hakuancha kukamilisha kazi ya ukombozi, vile vile na mimi sitakuchukia kwa fedhuli yoyote utakayonionyesha kwa sababu najua si wewe. Sasa basi usihangaike na mimi, angalial ujumbe wangu ambao uko moyoni mwako. Siku ukihitaji utafanya hiyvo. La hutahitaji, utajuana na Mungu siku utakaposimama mbele zake.Wewe ni kibwetere au askofu Rashid?
Kuna wodi mwananyamala SSH alipiga kona kama hana akili nzuri. Si uende mle ukamfukuze shetani?
Huna sababu ya kunijibu. Hata ukinitukana kwa majina yoyote, I don't care kwa sababu hata Bwana wangu Yesu Kristo, alitukanwa na alishaniambia kwamba nitafanyiwa kiwa aina ya fedhuli. Kama vile Bwana wangu pamoja na kashfa zote vile hakuancha kukamilisha kazi ya ukombozi, vile vile na mimi sitakuchukia kwa fedhuli yoyote utakayonionyesha kwa sababu najua si wewe. Sasa basi usihangaike na mimi, angalial ujumbe wangu ambao uko moyoni mwako. Siku ukihitaji utafanya hiyvo. La hutahitaji, utajuana na Mungu siku utakaposimama mbele zake.
Mimi usidhani matusi ama fedhuli yoyote itanihangaisha. La hasha kijana.
Wewe juha, hivi utapata ufahamu lini? huyo ssh ni mungu wako? Mbona pumbavu hivyo? Nimeshakuambia kama unaguswa na ujumbe wangu, fanyal. La sivyo, usiendelee kuniletea kitete chako hapa. Hiyo ni hasara na faida yako. Mimi nimetizima kazi yangu. Tatioz lako ni ujinga na upumbavu.Unafahamu fika kuwa sijakutukana. Uko busy kutafuta fursa ya kutukanwa?
Hahaahaaa 😂😂😂😂!
Pole sana jombi fursa hiyo haiko hapa.
Kama ulidhani utapata fursa ya kupata cha kutolea ushuhuda, hapa itakuwa imekula kwako.
Hivi hata uzi uliosoma au hata kuuelewa basi?
Ninakazia:
"Nilikwenda kuchanjwa. Nimechanjwa. Si kwa sababu ya lolote la kufanya na SSH bali kwa hiari na conviction yangu mwenyewe."
Hayo yanahusiana nini na utopolo unaojaribu kuuleta hapa?
Wewe juha, hivi utapata ufahamu lini? huyo ssh ni mungu wako? Mbona pumbavu hivyo? Nimeshakuambia kama unaguswa na ujumbe wangu, fanyal. La sivyo, usiendelee kuniletea kitete chako hapa. Hiyo ni hasara na faida yako. Mimi nimetizima kazi yangu. Tatioz lako ni ujinga na upumbavu.
Nakukumbusha tena - kama unatafuta kutukanwa ukapate kutoa ushuhuda umepotea maboya!
Nenda katoe ushuhuda huo kuwa umeula wa chuya.
Kwa mara nyingine nakazia:
"Nilikwenda kuchanjwa. Nimechanjwa. Si kwa sababu ya lolote la kufanya na SSH bali kwa hiari na conviction yangu mwenyewe."
Huo ndiyo msimamo wangu. Wewe inakuhusu nini? Zingatia maudhui ya mada.
Nyuzi ni maudhui kwa maudhui. Tafuta uzi wenye maudhui yanayofanana siyo kila uzi kwa maudhui yoyote hata kama ni utopolo.
Naona unachanganya Afya binafsi na siasa z chadomoJ3 tuna jambo letu. J4 pia tuna jambo letu kulingana na maelekezo ya wizara ya afya.
Hata hivyo wengi wetu tuliipigania hatua hii, wakati SSH na mwendazake wakifanya porojo zao kuhusu ugonjwa huu. Hivyo katu asituhesabu kuwa tutakuwa tumejitokeza kumwunga mkono yeye kwa lolote kuhusiana na hii chanjo.
Ni vizuri pia akafahamu kuwa hata kama asingekuwa kachanjwa sisi tungechanjwa tu.
Vile vile asisahau ukakasi aliotuletea kutokea kwenye kadhia ile ya Mwanza, hapo ndiyo kabisa ametukata stimu!
"J4 nitachanjwa. Ila tafadhali Mama SSH usinihesabu katika list ya watakaokuwa wamejitokeza kuchanjwa eti kwa kuwa umewa 'inspire.' Kwa hakika isingekuwa kwa hali ya huu ugonjwa ilivyo, tungehamasishana dhidi yako."
Niliweke hili wazi, "nilikuunga mkono sana, lakini si baada ya siku zako 100 ofisini, na hasa ulipokuja kutuonyesha rangi zako halisi ulizokuwa bila shaka umezificha."
Nitakuwa mnafiki mno kwa kutokukupa ukweli huo kinagaubaga.
Kumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
Habari ndiyo hiyo.
Jamaa hana akili kabisa.Naona unachanganya Afya binafsi na siasa z chadomo
Akili fuppi
Naona unachanganya Afya binafsi na siasa z chadomo
Akili fuppi
Jamaa hana akili kabisa.
Ni seti tupu
Haina member
Halafu uelewe kuhusu ile wodi ni Samia mwenyewe ndio kataka kuambiwa ni wodi ya wagonjwa wa covid ila yule jamaa kasema ni wenyewe matatizo ya kupumua, akasema ni suspect wa corona na si kwamba ni wodi ya wagonjwa wa corona.Wewe ni kibwetere au askofu Rashid?
Kuna wodi mwananyamala SSH alipiga kona kama hana akili nzuri. Si uende mle ukamfukuze shetani?
Samia haingii kwenye chanjo binafsiNinakazia:
Huo ndiyo ulio msimamo wangu.
"Nilikwenda kuchanjwa. Nimechanjwa. Si kwa sababu ya lolote la kufanya na SSH bali kwa hiari na conviction yangu mwenyewe."
Wewe baki na m@vi yako. Shida iko wapi?
Samia haingii kwenye chanjo binafsi
Yatakuwa matumizi ya hovyo kabisa ya GB kusikiliza utopolo usiokuwa na kichwa wala miguu.