J3 tuna jambo letu. J4 pia tuna jambo letu kulingana na maelekezo ya wizara ya afya.
Hata hivyo wengi wetu tuliipigania hatua hii, wakati SSH na mwendazake wakifanya porojo zao kuhusu ugonjwa huu. Hivyo katu asituhesabu kuwa tutakuwa tumejitokeza kumwunga mkono yeye kwa lolote kuhusiana na hii chanjo.
Ni vizuri pia akafahamu kuwa hata kama asingekuwa kachanjwa sisi tungechanjwa tu.
Vile vile asisahau ukakasi aliotuletea kutokea kwenye kadhia ile ya Mwanza, hapo ndiyo kabisa ametukata stimu!
"J4 nitachanjwa. Ila tafadhali Mama SSH usinihesabu katika list ya watakaokuwa wamejitokeza kuchanjwa eti kwa kuwa umewa 'inspire.' Kwa hakika isingekuwa kwa hali ya huu ugonjwa ilivyo, tungehamasishana dhidi yako."
Niliweke hili wazi, "nilikuunga mkono sana, lakini si baada ya siku zako 100 ofisini, na hasa ulipokuja kutuonyesha rangi zako halisi ulizokuwa bila shaka umezificha."
Nitakuwa mnafiki mno kwa kutokukupa ukweli huo kinagaubaga.
Kumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
Habari ndiyo hiyo.
Hata hivyo wengi wetu tuliipigania hatua hii, wakati SSH na mwendazake wakifanya porojo zao kuhusu ugonjwa huu. Hivyo katu asituhesabu kuwa tutakuwa tumejitokeza kumwunga mkono yeye kwa lolote kuhusiana na hii chanjo.
Ni vizuri pia akafahamu kuwa hata kama asingekuwa kachanjwa sisi tungechanjwa tu.
Vile vile asisahau ukakasi aliotuletea kutokea kwenye kadhia ile ya Mwanza, hapo ndiyo kabisa ametukata stimu!
"J4 nitachanjwa. Ila tafadhali Mama SSH usinihesabu katika list ya watakaokuwa wamejitokeza kuchanjwa eti kwa kuwa umewa 'inspire.' Kwa hakika isingekuwa kwa hali ya huu ugonjwa ilivyo, tungehamasishana dhidi yako."
Niliweke hili wazi, "nilikuunga mkono sana, lakini si baada ya siku zako 100 ofisini, na hasa ulipokuja kutuonyesha rangi zako halisi ulizokuwa bila shaka umezificha."
Nitakuwa mnafiki mno kwa kutokukupa ukweli huo kinagaubaga.
Kumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
Habari ndiyo hiyo.