Jumanne Ngoma: Mgunduzi wa Tanzanite anayetaabika

Hi inasikitisha sana. Lakini ndiyo TZ yetu ilivyo. Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Mtunzi wa mziki wa Malaika alikuwa akitaabika vivyo hivyo katika kufuatilia haki zake, na aliiomba serikali imsaidie ile yule Fadhili Williams( Mkenya) asile jasho lake.

Guess what, hakuna hata mtu aliyekuwa akimwangalia mzee wa watu. Alikuwa na ushahidi wote, na hata huyo malaika mwenyewe (aliyemtungia huo wimbo) alimtaja na kuonesha aishipo kama sikosei Arusha (wakati huo).

Na ilisikitisha sana kwani Fadhili Williams ailikuwa analamba Millioni 2 na nusu kwa mwaka ati royalities!!!, wakati mzee wa watu akiishi nyumba ya mbavu za mbwa.
Lakini pia ni vizuri tujue naye Fadhili aliingiaje hapo? coz naamini lazima kuna kitu kilipelekea kufikia huko.

Ila nakumbuka hata Miriam Makeba alipoimba alitanguliza maneno 'here is the song that comes from Tanzania'
 
Kama serikali imemtupa kwa maoni yangu nashauri kama vipi Jf ya Melo impatie heshima yake kwa kuweka icon ya hata ya sura yake,
 
Mtu wa Pwani


- Juzi mtoto wake wa kike alikuja ofisini kwangu nikaongea naye kwa muda mrefu sana on the ishu, for sure imenitoa sana machozi nimeamuahidi kumsaidia as much as I can, this is sad na ni lazima nikubali kwamba ni moja ya mapungufu makubwa ya Serikali ya chama changu lakini uzuri ni kwamba ni Serikali sikivu sana!!

Le Mutuz

kaka huna lolote la kumsaidia hawa ndugu zako wana roho mbaya wamejawa na visasi, nguvu iliotumika kumtafuta faru john itumike kumsaidia huyo mzee, kwa nchiza wastarabu na waungwana angekua bilionea sasa hivi
 
Angaluzo,
Williamson hakugundua Diamond kwa mara ya kwanza, Tayari kulikuwa na machimbo mengine yalishakunduliwa na makaburu huko "kimbery" mwaka 1800 na hapa ndipo Diamond ilingulika kwa mara ya kwanza.
Tangu ugundunzi wa Diamond ama almasi katika maeneo ya kimbery basi kulifanya miamba yote inayobeba Diamond kufamika kama kimberlite,waliita hivyo mahususi maana ndio kwa mara ya kwanza Diamond/almasi.
Hata kwa madini ya Tanzanite imekuwa hivyo,baada yakungulika Tanzania pekee kwa mara ya kwanza,basi yaliitwa Tanzanite, hivyo ikitokea yakapatkana tena Malaysia,jina Tanzanite litabaki pale pale,

Nimeshamsikiaga huyu mgunduzi wa Tanzanite muda kidogo akilalamika, kuwa wanachimba na kunafsika wengine ila yeye kama mgundizi hana maslahi na manufaa ya ugunduzi huu.
Ni tabia ambayo wa Africa tumekuwa nayo, hatupendi vya kwetu mpaka mzungu aje, tabua kabisa mtu mweupe hawezi kusikiliza anayemtawala.
 
Mtu wa Pwani


- Juzi mtoto wake wa kike alikuja ofisini kwangu nikaongea naye kwa muda mrefu sana on the ishu, for sure imenitoa sana machozi nimeamuahidi kumsaidia as much as I can, this is sad na ni lazima nikubali kwamba ni moja ya mapungufu makubwa ya Serikali ya chama changu lakini uzuri ni kwamba ni Serikali sikivu sana!!

Le Mutuz
Mkuu kama kweli utatekeleza kama ulivyohaidi basi mungu akupe nguvu na busara ili umtimizie huyo mtoto ulichomuhaidi.
 
Unaweza kutukana bure. Bora nikae kimya. Afu nchi iendelee.?! Dhulma kila sehemu. "Bladifaking" whoever is concerned kupoteza heshima ya mtanzania mwenzetu kitaifa na kimataifa!
 
Seriksli haikumsaidia vizuri wakati huo. Bado angeweza kupewa zawadi kubwa ama kumsaidia kupata leseni. Tanzania hatusaidiani.
 
Mtu wa Pwani


- Juzi mtoto wake wa kike alikuja ofisini kwangu nikaongea naye kwa muda mrefu sana on the ishu, for sure imenitoa sana machozi nimeamuahidi kumsaidia as much as I can, this is sad na ni lazima nikubali kwamba ni moja ya mapungufu makubwa ya Serikali ya chama changu lakini uzuri ni kwamba ni Serikali sikivu sana!!

Le Mutuz
wewe ni nani?
 
kwanini iwe hivyo?, inabidi serikali iwatazame hawa wagunduzi kwani wao pia ni rasilimali, hivi hata yule aliyetengeneza helcopta alifikia wapi?
 
Alipo yavumbua tu angeyaita NGOMA au Jumanee, angeyatafutia na hati miliki kabisa awe analipwa mrahaba.
 
Serek
Wandugu wapendwa issue hizi ni Za kisheria Na sio Kama story au siasa.
Williamson walivyogundua hiyo almasi walisajili hiyo kampuni Na kujihalalishia uchimbaji wa Almasi sehemu hiyo ya mwadui, Na si kwamba Ana haki Na Almasi yote ilioopo duniani au Tanzania in particular.
Kuhusu huyo j4 anayedai kwamba ndio aligundua hiyo tanzanite, nasikitika kusema hakujimilikisha sehemu zote zinakopatikana tanzanite wala hakusajili hiyo patent ya tanzanite. Sasa Kwa mfano eneo lake wakati ule la machimbo ilikuwa ekari nne, sasa tanzanite itakayo patikana nje ya eneo hilo si yake, Na kuhusu mrahaba pia inawezekana ado pâté maana hukusajili huo ugunduzi.
Tatu historically tanzanite imekuwa ikichimbwa Na watu binafsi Na kuuzwa Kenya au locally kununuliwa Na watu ambao hupeleka Jaishpur bila kupitia njia zinazo fahamika. Kidogo mfumo Na soko lilibadilika baada ya kuingia Tanzania one ya South Africa lakini Bado uzalishaji wake haukuratibiwa vizuri sababu ya kutokuwepo Kwa uwazi Ktk huo mkataba na uzalishaji
Serekali inatakiwa imsaidie. Naona ana mtoto very courageous ( kutokana na muonekano wa kwenye picha) afanye kazi hiyo kumtafutia baba yake haki yake.
 
Back
Top Bottom