Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,440
Alidhani atakuwa police milele mpuuzi sn
Huyo aliyepelekwa ndio noma afadhali ya Muroto!Sasa bawacha wanaweza kufanya maandamano kwenda kuwaburuta toka bungeni wale wabunge 19
Kwani wewe utapika mbege milele?Alidhani atakuwa police milele mpuuzi sn
Sifahamu kama ni mjita ila hilo jina lake lina maana hiyo kwa kijitaMuliro ni mjita? Shanna alikuwa mjita pia.
Toka umeondolewa Dom unaishi kwa shida snKwani wewe utapika mbege milele?
Itafika muda utawarithisha vyungu wajukuu zako.
Sasa mbona alipewa u RPC Dodoma!? Au alitumwa kufanya hiyo skendo!?Vyote viwili, ambalo hakujua ni kwamba alikuwa kwenye radar!
Si ajabu naye alikuwa na godfather maana kuepushwa skendo kufumuka alipelekwa Manyara/Kiteto halafu huko Kagera mpaka mambo yakapoa.Sasa mbona alipewa u RPC Dodoma!? Au alitumwa kufanya hiyo skendo!?
Huyu Miruto alisha kula na burst. Alidanganya sana umri wake. Naona sasa aibu zimewafika wakaona hawana budi.Karibu afande Jumanne Muliro katika mkoa wetu wa Dar es salaam.
Tunaelewa utumishi wako uliotukuka uliowezesha amani kutamalaki mkoani Mwanza. Ni imani yetu unatuletea amani katika mkoa wetu huu wa Mzizima.
Karibu sana.
-----
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Simon Sirro amefanya mabadiliko madogo kwa Makamanda wa Polisi, ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi.
Katika mabadiliko hayo, Naibu Kamishna wa Polisi Lucas Mkondya amehamishwa kutoka kuwa Kaimu Kamishna wa Fedha na Logistiki Makao Makuu ya Polisi Dodoma kuwa Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Makao Mkuu ya Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Onesmo Lyanga amehamishwa kwenda kuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma kuchukua nafasi ya Kamanda Gilles Muroto ambaye anastaafu.
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Ramadhan Ngh’anzi amehamishwa kutoka kuwa Boharia Mkuu kwenda kuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Mwamini Rwantale akihamishwa kutoka Kanda Maalum ya Dar es Salaam ambako alikuwa Mkuu wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali watu kwenda kuwa Kamanda wa Polisi Kikosi cha TAZARA.
IGP Sirro pia amemhamisha Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mwanza, Muliro Jumanne kwenda kuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuchukuwa nafasi iliyoachwa na Kamishna wa Polisi Camillius Wambura.
Kamishna Msaidizi wa Polisi Zuberi Chembera, yeye amehamishwa kutoka Makao Makuu ya Upelelezi Dodoma kwenda Makao Makuu ya Polisi Zanzibar kuwa Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa jinai Zanzibar kuchukua nafasi ya Kamishna wa Polisi Hamad Khamis Hamad.
Naye Kamishna Msaidizi wa Polisi Stella Richard amehamishwa kutoka kuwa Kamanda wa Kikosi cha Polisi TAZARA kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida.
Hahahaaaa...... Umenikumbusha kibabu Sadifa wa UVCCM!Huyu Miruto alisha kula na burst. Alidanganya sana umri wake. Naona sasa aibu zimewafika wakaona hawana budi.
Tumkaribishe uraiani yale maigizo yake atayaona YouTube.
Acha tu mkuu wangu mchoma mkaa. Chuma isikie tu yani it is a taste of lid. Ikiingia mwilinini tu you have a room temperature challenge.
Yani hii manati ya mzungu ukibonyeza tu inatema na kukohoa vitu vyenye ncha kali/butu vinavyoruka hewani kwa kasi ya ajabu na ya hatarii.
Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa
Ongezea nyama mkuu...Kamanda Muroto aliondolewa DSM kwa aibu na kwa nia ya kuokoa kibarua chake.
Ashukuru aliondolewa maana ilikuwa almanusura vyombo vimtafune kwa skandali aliyoisuka akiwa Wazo OCD.
Ngoja aje...rafiki yake na sabaya huyu...Karibu Kamanda Muliro Dar ndio kipimo chako cha mwisho kabla kufikiriwa IGP kazi kwako sasa.......
Wakati muafaka ukifika!Ongezea nyama mkuu...