Cyangungu
Member
- Nov 7, 2019
- 45
- 54
Wengi wa Wananchi hasa wenyeji wa Jimbo la Kahama mjini hawakutarajia kabisa endapo ndugu Jumanne Kishimba Mbunge wa Jimbo lile angeleta utulivu wa kisiasa pale Kahama mjini kwasababu ya hali ya kisiasa wakati wa kampeni za Uchaguzi wa mwaka 2015 ilivyokuwa tete.
Leo,Kahama kupo shwari kabisa na Jumanne anao uhakika wa ushindi kwa awamu nyingine hapo mwaka 2020.
Kwa hakika Kahama ambayo ni Manispaa tarajiwa kupo shwari!Siasa za Upinzani hazipo tena.Heko ndugu Jumanne.
Leo,Kahama kupo shwari kabisa na Jumanne anao uhakika wa ushindi kwa awamu nyingine hapo mwaka 2020.
Kwa hakika Kahama ambayo ni Manispaa tarajiwa kupo shwari!Siasa za Upinzani hazipo tena.Heko ndugu Jumanne.