Nakubaliana na wewe Mkuu maandamano ni noma cos polisi wakiingilia inaongeza hasira kwa jamii,lakini njia ya mazungumzo hufikia kikomo pale mnaposhindwa kuafikiana hasa yanapogusa masilahi ama ya chama au binafsi.Mzee unaonekana ulikuwa umepania kweli kweli kuandamana. Wanaharakati wameambiwa kuwa maandamano si njia sahihi ya kuleta Katiba mpya bali watumie njia zingine hasa za mazungumzo. Japokuwa wao hawajatoa tamko rasmi nashauri tuwaunge mkono kukubali kwao kuachana na maandamano kama tulivyokuwa tumepania kuwaunga mkono katika maandamano.