Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Wakuu za asubuhi,
Kiukweli ubachela ni shughuli nzito, kuna binti mmoja nilielekezwa na dada mmoja jirani kua hua anawafanyia usafi watu majumbani kwao.
Akanipa namba nikamtafuta ili aje aokoe jahazi, asafishe nyumba, afute kona zote, nilikua safari ndo nimerudi jana.
Huyo binti kaja leo mapema kweli ni binti mrembo kiasi chake ana kakalio fulani hivi na nimejizuia kweli nimewaza huyu atakua analiwa sana na wanaomwita kufanya usafi basi nimepotezea.
Jana nikawa nachart na msichana wangu mmoja kua akiweza aje mchana, yaan leo. Hee gafla huyo saa tatu asubuhi ananambia nimfungulie gate.
Sasa kamkuta huyu binti anafanya usafi hapa imekua balaa, eti namnukuu "wee lazima ushamla huyu" wakati mi ndo mara ya kwanza jamani, am very innocent kwa hili.
Kamwambia aende atamalizia yeye, nimelipa hela ya bure kabsa hata hajamaliza ila hiyo mineno nayopewa hapa, eti "yaani umentoa stim zote na nyege zote"
N.b well hakuna jipya nimeona ni shee tuu kisanga hiki.
Kiukweli ubachela ni shughuli nzito, kuna binti mmoja nilielekezwa na dada mmoja jirani kua hua anawafanyia usafi watu majumbani kwao.
Akanipa namba nikamtafuta ili aje aokoe jahazi, asafishe nyumba, afute kona zote, nilikua safari ndo nimerudi jana.
Huyo binti kaja leo mapema kweli ni binti mrembo kiasi chake ana kakalio fulani hivi na nimejizuia kweli nimewaza huyu atakua analiwa sana na wanaomwita kufanya usafi basi nimepotezea.
Jana nikawa nachart na msichana wangu mmoja kua akiweza aje mchana, yaan leo. Hee gafla huyo saa tatu asubuhi ananambia nimfungulie gate.
Sasa kamkuta huyu binti anafanya usafi hapa imekua balaa, eti namnukuu "wee lazima ushamla huyu" wakati mi ndo mara ya kwanza jamani, am very innocent kwa hili.
Kamwambia aende atamalizia yeye, nimelipa hela ya bure kabsa hata hajamaliza ila hiyo mineno nayopewa hapa, eti "yaani umentoa stim zote na nyege zote"
N.b well hakuna jipya nimeona ni shee tuu kisanga hiki.