Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Kutokana na hali ya uchafu uliokithiri nchini hasa Mkoani Dar es Salaam, napendeza Serikali iiteue siku ya Jumamosi kuwa siku Maalum ya kufanya usafi nchi nzima kwa kuwahusisha na kuwashirikisha wananchi wote. Ikibidi BUNGE lipitishe Sheria Maalum kuhusu suala hili.