#COVID19 Jumamosi Hospitali ya Amana hawatoi chanjo ya Covid lakini Aga Khan wanachanja, hii ipoje?

Lakini kwa nini waliruhusu kuregister watu online for Saturdays? Tuanzie hapo mkuu.
Ubinafsi naona kuregester online ni mpango wa wizara ya afya kukusanya data za waliochanja kupitia ile tovuti yao ya chanjo No matter ulichanjia kituo gani kwa maana ukishasajili kupitia kitambulisho kilichoidhinishwa yaani leseni au nida huwezi kurudia tena hivyo ukichanjia kituo chochote hutaadhiri takwimu.
 
Lakini kwa nini waliruhusu kuregister watu online for Saturdays? Tuanzie hapo mkuu.
Walioregister watu for saturdays ni wizara siyo hiyo hospitali.Hospitali hazina hata taarifa juu ya online registration ndiyo maana unapoenda kuchanjwa hata hawatumii huo mfumo.
 
Wiki iliyopita nilijiandikisha online kupata chanjo ya Covid Amana Hosp leo Jmosi Aug 7. Lkn nilipofika pale tuliambiwa leo hawatoi chanjo hadi J'tatu.

Baadaye jamaa alinitonya niende Aga Khan. Nikaenda, sikuchukua dak 15 nikapata chanjo.

Inakuwaje private hospital wanajali zaidi wananchi kuliko govt hospital?

Na hili suala la kujiandikisha online kumbe magumashi tu.
Usiwe na haraka ya kusema nani anakujali na nani hakujalil kwa kuwa wewe tayari umeshapata unachokiamini na kukihitaji. Haya utayasema siku utakapoelewa hicho unachochanjwa ni nini na Aghakan ni nani kwenye hicho na utamwelewa kwa nini hana mpango rahisi na wagonjwa wa corona, ila hicho unachoaminishwa kuwa ni chanjo.
 
Back
Top Bottom