Twamsubiri huyo bibie Madam B ! Hakikisha yupo na maji ya kunywa ya kutosha maana pressure itakuwa ikipandapanda na kushuka kwa maswali
Picha kwa hisani ya Madame B
Patakuwa hapatoshi, maana bibie kaahidi kufunguka na kumwaga radhi.
Asiye na mwana aeleke jiwe na mwenye wivu akufe atuache tupumuwe sie
Kwa upande wa maji wala usihofu, watakaohusika na jukumu hilo ni hao warembo hapo juu, kutoka kushoto ni charminglady, Ciello na Kipipi. wao watakuwa na jukumu kubwa la kutusaidia kupoozesha makoo yetu
At last juhudi zangu zimezaa matunda,mamii Madame B naomba usijitokeze hadharani kwanza kuna watu nakuletea wakupatie training ya kuongea na hawa waandishi wa habari hiyo jumamosi
Dah! Jamani mapajaaaa....
Wana lipi jipya la kum train huyo!?? kabobea pande zote, shauri yako we endelea kuitazama kwa wasiwasi Tisa ukadhani ni Sita!!
weraaaaaa weraaaaaaa..... Madame B na da Zinduna ondoeni shaka..... nishaanza kuwasiliana na Bakhresa so maji ya uhai yatakueepo ya kutosha... TBL pia hawapo nyuma nishawapatia quotation ya vinywaji ninavyovihitaji.... iwapo mtahitaji vinywaji tofauti na vinavyopatikana TBL na Bakhresa tafadhali wasilianeni na kamati husika kabla ya jumamosi!!!!!!!!!!!!!!!"
Nadhani huu mdahalo utafunika, maana shem langu lilivyo na skendo lol....
Ha ha ha ha ha ha!!
Baba V mbona unakua mkweli sana?!
Wa kutrainiwa atakua Madame B? Mtu alimchamba Bi.Hindu na Bi.Chau mbele ya macho yangu hadi wakakimbia!! Chezea KINO weye!
Naisubirije hiyo show? Leo namuomba mzungu ruhusa mapemaaa nishiriko kikamilifu kwenye shoo.