Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,866
Katika mahafali ya 40 ya chuo kikuu huria cha Tanzania yanayofanyika viwanja vya Mao Tse Tung, Mjini Magharibi Zanzibar. Waziri wa Maji Jumaa Aweso anajipatia Masters Degree ya Uongozi.
Wengine wanaopata shahada za uzamili ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo.
Aidha Mume wa Tulia Ackson anajipatia PhD yake... Tulia yupo Zenji nao kusapoti harakati za mtu mweusi....
Upendo Utuongoze
Wengine wanaopata shahada za uzamili ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo.
Aidha Mume wa Tulia Ackson anajipatia PhD yake... Tulia yupo Zenji nao kusapoti harakati za mtu mweusi....
Upendo Utuongoze