Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,256
- 2,862
Ujasusi ni umbea uliokomaa ,kuingilia habari za watu ,kuzitoa nchi moja kupeleka kwengine !
umbea uliokomaa!!,huyu juma alishafariki kitambo,hayupo.
Ujasusi ni umbea uliokomaa ,kuingilia habari za watu ,kuzitoa nchi moja kupeleka kwengine !
Victims wa Udikteta hao.
Chunga mdomo huo...awamu ya nne ndio toka yako. Unajua tunachojua
Wewe punguani unachoongea ni nini?
Hakuna mama ametukanagwa kama huyu. Lakini amekubuhuThe death of Julius Nyerere, African independence leader and longtime dictator
of Tanzania, evoked a flood of encomiums worldwide. The praise is misplaced.
Nyerere's approach devastated much of postcolonial Africa (Forbes,
1999).
Source: http://www.google.com/url?sa=t&rct=...Y69_pO-4AKRnTNNBg&sig2=ryyQwqahDMBSeTOZJOGPAQ
sio kwamba faizafox habari ya kwenda ikulu kama wanaenda msalani kwa hawamu ya tano ndio imekwisha haaahaaa waanza kuelekea msoga kwa jamaa yaoTeh teh teh. ...ukiona mtu anakimbilia kutukana fahamu fika ameshaishiwa hoja. Awamu ya nne imeisha na majanga yake pia. Teh teh teh. ...ndio maana tunatufa container kama zimekuwa shindano
Miaka ya 1975 na kuendea kuna na kesi ya aliyekuwa mfanyakazi wa Kilimanjaro hotel akiitwa Juma Thomas Zangira. Huyu bwana alishtakiwa kwa kesi ya Ujasusi. Ninaomba anayeijua mwisho wa kesi hiyo na huyu bwana yuko wapi atujuze.
Jasusi, au mamajusi ni wapelelezi wanaotumwa toka nchi moja kwenda nchi nyingine kwa nia ya kukusanya habari fulani. Kwenye Biblia Herode aliwatuma mamajusi (majasusi) kwenda kuchunguza habari za kuzaliwa yesu (Mathayo 2 kuanzia mstari wa 7 na kuendelea). Mamajusi na majasusi ni neno lenye maana moja ila lahaja ni tofauti. Kwa tafsiri hiyo hapo juu, huyo Zangira hakustahili kuitwa jasusi. Bali alikuwa akishirikiana na jasusi (kama ni kweli lakini). Sababu yeye Zangira alikuwa nchini mwake, hakuwa nchi nyingine.Hivi wakuu maana halisi ya ujasusi huwa ni nini? Ujambazi au uajngiri au ukibaka? Pia tofauti ya jasusi na gaidi.
Miaka ya 1975 na kuendea kuna na kesi ya aliyekuwa mfanyakazi wa Kilimanjaro hotel akiitwa Juma Thomas Zangira. Huyu bwana alishtakiwa kwa kesi ya Ujasusi. Ninaomba anayeijua mwisho wa kesi hiyo na huyu bwana yuko wapi atujuze.
Yes nilikuwa napenda kufuatilia kesi, hiyo kesi ya uhaini ya Juma Thomas Zangira pia niliifuatilia.Mayalla kama ulikuwa unapendelea kufuatilia kesi unikumbushe kesi ya MTU mmoja anaitwa
(1) Thomas Nzangira alikamatwa kwa kesi ya uhaini kama sio ujasusi nimesahau
(2) dereva taxi muhando aliyewachomekea kesi kina maghee alikuwa anapaki taxi yake Kilimanjaro hotel