Habari wanabodi,
Waziri wa Maliasili na Utalii amemteua bw. Juma Shabani Mgoo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest Services Agency - TFS).
Kabla ya hapo bw. Mgoo alikuwa akifanya kazi Makao Makuu ya Wizara ya Maliasili na Utalii kama Mkurugenzi Msaidizi wa Uendeshaji Misitu.
Uteuzi huo unaanza tangu tarehe 1 Desemba 2011 na utadumu kwa kipindi cha miaka mitano.
Waziri wa Maliasili na Utalii amemteua bw. Juma Shabani Mgoo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest Services Agency - TFS).
Kabla ya hapo bw. Mgoo alikuwa akifanya kazi Makao Makuu ya Wizara ya Maliasili na Utalii kama Mkurugenzi Msaidizi wa Uendeshaji Misitu.
Uteuzi huo unaanza tangu tarehe 1 Desemba 2011 na utadumu kwa kipindi cha miaka mitano.