Kwa wakazi wa Kinondoni, Tunaomba Mtukumbushe kadri mtakavyoweza, Uwezo na Matukio Aliyoyafanya Juma Ngedere, Kipindi chote Alichovuma Katika Michezo ya Kujihami... Historia yake na Alipo sasa. Kado Cool, Naamini Ana Maelezo ya Kina.
Je, Mashujaa Wenzake hasa wa Kipindi chake, Wako wapi sasa?
Kwa Wasiomjua, Juma Ngedere Ndiye Aliyekuwa Bingwa wa Mchezo wa Karate kwa Tanzania Kwa Miaka ya 1996 na 1997.
Karibuni Sana.
Je, Mashujaa Wenzake hasa wa Kipindi chake, Wako wapi sasa?
Kwa Wasiomjua, Juma Ngedere Ndiye Aliyekuwa Bingwa wa Mchezo wa Karate kwa Tanzania Kwa Miaka ya 1996 na 1997.
Karibuni Sana.