Kuanzia mwaka huu Chadema inakataliwa rasmi kaskazini kwa sababu wanesimamamisha msaliti wa Nchi kupeperusha bendera ya Chadema
Kuanzia mwaka huu Chadema inakataliwa rasmi kaskazini kwa sababu wanesimamamisha msaliti wa Nchi kupeperusha bendera ya Chadema
Siasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi
Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.View attachment 1604777
SKAMOOOOOOOOOOO BIBII.... ✌️Maamuzi yao ni mazuri sanaaa, wamejitambua na sio kutaka kuwa watumwa wa mabeberu.
Na badoooooo.. utalii wa Chadrama unaisha lini? 😃😃😃
💚💛💚💛💚
sisi tunajua kua nyie wote mtamchagua Lissu ..ni kua tu lazima mje kupiga porojo humu ili mpate elfu saba ya kwenda kula supu na bia..hakuna mwendawazimu ataichagua ccm...mlikua mnatumia mtaji wa wajinga ambao hawajaelimika ila wamekufa wengi mmebaki nyie makapi machache machache ambao hata asilimia 20 ya kura hamtafikaPiga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
labda upige wewe na MUMEO kura 2 zinamtosha ✌️ ✌️ ✌️ ✌️ ✌️Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
L
labda upige wewe na MUMEO kura 2 zinamtosha
Wajumbe tushaandaa kadi zetuSisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Uongo uliopitikiza nani asiemjua Juma Raibu kuwa ni tapeli tuuSiasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi
Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.View attachment 1604777
Nyie mbuzi mliwanunua wabunge mkadhani mmeiua chadema sasa hivi mnaleta drama zenu hapa? Mbona mmewatenda watumishi wa umma mkisema hawana impact kwasababu ni wachache. Kwahiyo viongozi 15 wakiondoka ndio chadema imekufa? Inzi wa kijani nyie.Siasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi
Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.View attachment 1604777