Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,845
- 5,064
nkamia anahoji hivyo kwa sabau one day hapa ililetwa habari kuwa jamaa alikuwa na wanawake wawili huko kondoa kwenye hoteli aliowatoa dar akidai ni waandishi wa habari anaenda nao jimboni kwake ili waandike shughuli za maendeleo jimboni kwake..kumbe ni uongo wale walikua ni malaya kawatoa da na alikaa nao guest kwa mda wote aliokaa kondoa....