Juma mkambi-general afariki dunia

Kamongo

JF-Expert Member
Mar 20, 2009
1,957
2,068
Yule mchezaji wa yanga na timu ya taifa juma mkambi afariki dunia ktk hospital ya taifa mhimbili jana usiku,RIP
 
RIP Juma Mkambi. Sikusahau 1981 ulipotufunga wekundu bao pekee uwanja wa Taifa.
 
Mshambuliaji mahiri wa zamani wa timu ya Yanga na Taifa Stars Juma Mkambi 'Jenerali' amefariki alfajiri ya leo...Marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo kwa takribani wiki mbili sasa na atazikwa katika hospitali ya Tumbi Kibaha kabla ya kuhamishiwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.....Habari zadi juu ya mazishi yake tutajuzana....R.I.P Jenerali JUMA MKAMBI
 
Yule mchezaji wa yanga na timu ya taifa juma mkambi afariki dunia ktk hospital ya taifa mhimbili jana usiku,RIP

Duh! Kama ni kweli basi kifo hakina hodi. Huyu jamaa jana mchana alikuwa anahojiwa live kwenye kipindi cha Ben na Maimatha TBC na alikuwa OK. Ama kweli hujafa hujaumbika.

RIP.
 
Basi katikati ya salamu za rambi rambi mtu atakuja kuingiza mambo ya wabunge wa chadema kutoka bungeni.
Nyie subirini tu.
 
Back
Top Bottom