Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Basi katikati ya salamu za rambi rambi mtu atakuja kuingiza mambo ya wabunge wa chadema kutoka bungeni.
Nyie subirini tu.
Duh! Ndiba umenivunja mbavu sana Kamanda . . . . I love JF!
Basi katikati ya salamu za rambi rambi mtu atakuja kuingiza mambo ya wabunge wa chadema kutoka bungeni.
Nyie subirini tu.
Duh! Ndiba umenivunja mbavu sana Kamanda . . . . I love JF!
R. I. P jenerali, hii ni habari ya kusikitisha sana, hapo kwenye nyekundu bado sijaelewa, nadhani umekusudia aliugulia hospitali ya Tumbi na baadae kuhamishiwa Muhimbili ila wapi mazishi bado hauna habari, ama sivyo Mkuu?Mshambuliaji mahiri wa zamani wa timu ya Yanga na Taifa Stars Juma Mkambi 'Jenerali' amefariki alfajiri ya leo...Marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo kwa takribani wiki mbili sasa na atazikwa katika hospitali ya Tumbi Kibaha kabla ya kuhamishiwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.....Habari zadi juu ya mazishi yake tutajuzana....R.I.P Jenerali JUMA MKAMBI
Mshambuliaji mahiri wa zamani wa timu ya Yanga na Taifa Stars Juma Mkambi 'Jenerali' amefariki alfajiri ya leo...Marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo kwa takribani wiki mbili sasa na atazikwa katika hospitali ya Tumbi Kibaha kabla ya kuhamishiwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.....Habari zadi juu ya mazishi yake tutajuzana....R.I.P Jenerali JUMA MKAMBI
RIP Juma Mkambi "Homa ya Jiji"[/QUOTE]
Homa ya jiji alikuwa Makumbi Juma. Juma Mkambi (RIP) alikuwa anajulikana kama JENERALI
"Kona inakwenda kupigwa na Juma Mkambi"
RIP brother.
Basi katikati ya salamu za rambi rambi mtu atakuja kuingiza mambo ya wabunge wa chadema kutoka bungeni.
Nyie subirini tu.
Out of point!!!