frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
nimepata msangao sana juu ya uchezaji wa huyu kijana ni dhahiri kimwili yupo yanga kiakili bado yupo simba kabisa, goli la tatu ni uzembe mkubwa sana mpaka akafikia kuwapunguza nguvu wenzake kutafuta na kufuta magoli, naomba mzee akilimali mchunguze na akiwezekana mechi za simba hasidake kabisa, ameniudhi sana leo