Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,182
- 42,001
Wasalaam wana jamvi.
Kiwanda cha muziki tanzania kimekuwa sana na ni wazi kabisa muziki wetu hasa bongo fleva umekuwa mgumu sana.
Lakini kwenye miondoko ya taratibu na kubembeleza ni wazi kabisa kumekuwa na ugumu wa wasanii wengi na ni wachache wanaweza kumantain.
Lakini ukifatilia trend ya hivi karibuni ni wazi kabisa kwenye muziki wa R&B kwa sasa tunaweza bakisha wasanii wawili ambao ni Jux na Mario.
Lakini ukifanya vizuri tathmini na reseach vizuri utagundua kuwa Jux amekuwa bora sana kwenye mambo mengi kumzidi Marioo hasa kwenye perfomance.
Jux ni mmoja wa wasanii wachache sana hapa nchini wenye uwezo mkubwa sana jukwaani na ni msanii mwenye uwezo wa kuimba bila kuhitaji play back na mwenye pumzi ukimlinganisha na wasanii wengine.
Jux amekuwa kinara sana wa kukonga nyoyo za mashabiki jukwaani kuliko wasanii wengine wa kuimba, maana wasanii wengi wa kuimba ni bora kuwasikiliza radioni kuliko kuwasikiliza live.
Bado najiuliza ni kweli hana mpinzani kwa sasa?
Kiwanda cha muziki tanzania kimekuwa sana na ni wazi kabisa muziki wetu hasa bongo fleva umekuwa mgumu sana.
Lakini kwenye miondoko ya taratibu na kubembeleza ni wazi kabisa kumekuwa na ugumu wa wasanii wengi na ni wachache wanaweza kumantain.
Lakini ukifatilia trend ya hivi karibuni ni wazi kabisa kwenye muziki wa R&B kwa sasa tunaweza bakisha wasanii wawili ambao ni Jux na Mario.
Lakini ukifanya vizuri tathmini na reseach vizuri utagundua kuwa Jux amekuwa bora sana kwenye mambo mengi kumzidi Marioo hasa kwenye perfomance.
Jux ni mmoja wa wasanii wachache sana hapa nchini wenye uwezo mkubwa sana jukwaani na ni msanii mwenye uwezo wa kuimba bila kuhitaji play back na mwenye pumzi ukimlinganisha na wasanii wengine.
Jux amekuwa kinara sana wa kukonga nyoyo za mashabiki jukwaani kuliko wasanii wengine wa kuimba, maana wasanii wengi wa kuimba ni bora kuwasikiliza radioni kuliko kuwasikiliza live.
Bado najiuliza ni kweli hana mpinzani kwa sasa?