Juma Jux alikuwa anasomea nini?

June 22, 2017 baada ya maswali ya watu mbali waliokuwa wanahoji kitu alichokuwa anafanyaJux China hatimaye mwimbaji huyo staa wa Bongofleva ameonesha picha za graduation ya kuhitimu Degree ya Computer Science kutoka Guangdong University.
 
hawawezi kukwambia.
alichokuwa anasomea kinalindwa kama inavyolindwa mikataba ambayo serikali iliingia na wawezaji.
 
Computer science ...nimependa alivyofanya wabongo wengi wali diss Mara ni ngada yule anasema lile
 
mkuu humu ni great thinkers kwa hiyo tnajadaili ideas sio watu hayo ya kujadili watu peleka celebrities forum
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom