ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Kwa nini humshangai baba yako wa Taifa pamoja na kelele nyingi za Ujamaa na kujitegemea kaenda fia kwenye Taifa la kibepari alilowahi hata kufikia kuvunja nalo uhusiano wa kibalozi 1965 Uingereza?
nyerere kazikwa butiama mkuu au umesahau