kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Leo mnamo saa nne asubuhi Mh. juma duni Hadji amepita Igunga na kuwasalimia wananchi na kuwapongeza kwa kumpokea kwa wingi huku akiwaambia wafanye jambo sahihi ifikapo 25 Oct ili wananchi waweze kupata neema ya kupata huduma bora za Afya, Elimu miundombinu N.k aliongea mengi lakini naomba niishie hapo kwani lengo langu ni kutaka kuwafahamisha wale ambao kila wakiamka wanaulizia huyu Mh. yuko wapi kwa hiyo nawaambia kuwa Juma Duni Haji anapiga kazi na anakimbiza Mwizi (CCM) kimya kimya
** Hizo picha zinaonyesha tarehe ya nyuma hilo ni kosa la kamera nilikuwa sijarekebisha tarehe kwa hiyo Marumumba hiyo haitakuwa issue**
** Hizo picha zinaonyesha tarehe ya nyuma hilo ni kosa la kamera nilikuwa sijarekebisha tarehe kwa hiyo Marumumba hiyo haitakuwa issue**
Last edited by a moderator: