July 3; Yanga mcheze na sisi ila point wapewe Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,093
103,329


Intelijensia yangu inaniambia uongozi wa Yanga umeanza chokochoko za kukataa kucheza July 3. Wameanza kuwatumia vijana wa mitandao na wachambuzi takataka kutuma ujumbe wao.

Tunaomba Simba iongee na TFF wabadili kidogo kanuni. Tucheze na Yanga ila point 3 wapewe Yanga. Tunataka utopolo wakose sababu.

Halafu mashabiki wa Simba Sc nao wapunguze vitisho kwa Yanga ili kushusha pressure
 
Yanga wanaogopa nini kwani ? Mara ya mwisho tuliwaona wanaondoka uwanjani hivi
20210305_012043.jpg
 
Natabiri kuna hatari kubwa ya yanga kufikiria kutokuingiza timu uwanjani, kama kweli yanga wataingia uwanjani basi yatakuwa ni mauaji ya ki historia, kuna uwezekano wa goli 7, hakika nawaambia.
 
View attachment 1795234

Intelijensia yangu inaniambia uongozi wa Yanga umeanza chokochoko za kukataa kucheza July 3. Wameanza kuwatumia vijana wa mitandao na wachambuzi takataka kutuma ujumbe wao.

Tunaomba Simba iongee na TFF wabadili kidogo kanuni. Tucheze na Yanga ila point 3 wapewe Yanga. Tunataka utopolo wakose sababu.

Halafu mashabiki wa Simba Sc nao wapunguze vitisho kwa Yanga ili kushusha pressure
Kwa lile mbungi walipigishwa Kaizer Chiefs ni muhimu kukataa kucheza na Simba aisee.
 
View attachment 1795234

Intelijensia yangu inaniambia uongozi wa Yanga umeanza chokochoko za kukataa kucheza July 3. Wameanza kuwatumia vijana wa mitandao na wachambuzi takataka kutuma ujumbe wao.

Tunaomba Simba iongee na TFF wabadili kidogo kanuni. Tucheze na Yanga ila point 3 wapewe Yanga. Tunataka utopolo wakose sababu.

Halafu mashabiki wa Simba Sc nao wapunguze vitisho kwa Yanga ili kushusha pressure
Bro sio chokochoko,bali ni wazi kabusa yanga wamesema teh 3 hawapeleki timu uwanjani hadi tff watatue mambo 8 ambayo yanga wanayalalamukia na tff hawajayatatua
 
Mmehenyeshwa na ruvu shooting. Alafu leo mje muifunge YANGA. Kweli maajabu hayaishi duniani. Sijui mbumbumbu fc mnafeli wapi kudanganyana ujinga ujinga

Kama wewe ulivyofungwa 2-1 na timu inayotaka kushuka daraja
 
Bro sio chokochoko,bali ni wazi kabusa yanga wamesema teh 3 hawapeleki timu uwanjani hadi tff watatue mambo 8 ambayo yanga wanayalalamukia na tff hawajayatatua
Kama ni hayo mambo 8, kwa nini wasigomee kupeleka timu ilipocheza na JKT Tanzania au Namungo, au mechi za ligi zinazofuata, au hata mechi ya Mwadui ya FA, badala yake wanachagua mechi ya Julai 3 ?
 
Maneno mengi bila hoja tunataka sababu ya kuhairisha mechi wakati mashabiki wapo uwanjani. Simba ndio uliogopa kuleta timu baada ya mganga wenu kuwambia mtafungwa. Mkaenda kwa kiongozi wa serekali ambaye ni shabiki wenu akatoa amri mechi ihairishwe.Na simba ilikuwa jua mechi haitachezwa yanga wamepewa taarifa kwa simu wakati basi la timu linavuka daraja la kigamboni. Yanga tarehe 3.7.2021 timu hatupeleki tff na simba msitufanyie uhuni.mechi imehairishwa ili kuifavour simba.ndio maana karia jana anatowa povu hakukuwa na sababu ya msingi kuahirisha mechi.
 
Wapewe point 3, goli la kuanzia na ikiwezekana mapato yote yatakayopatikana siku hiyo.

Sisi tunataka kucheza nao tu kwa dakika 90.

Uto mnaonaje, hiyo sio fair?
 
Back
Top Bottom