JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
Petu Hapa said:Wanakutana kulumbana na kupembua wakiwa na imani maongezi yao na agenda zao zitachangia katika kuendeleza taifa hili.
Petu Hapa,
..miaka yote tumepiga siasa na ndiyo maana tuko nyuma.
..hakuna nchi iliyoendelea kutokana na malumbano ya watu wa aina ya Issa Shivji.
..sasa sisi bado tunawaendekeza hawa kwa kuwapa fedha chungu nzima watumie kuendeleza malumbano yao.