Jamani,
Wenye taarifa kuhusu huyu mtangazaji yupo wapi hivi sasa, mbona kimya kabisa?
Jamani,
Wenye taarifa kuhusu huyu mtangazaji yupo wapi hivi sasa, mbona kimya kabisa?
Jamani,
Wenye taarifa kuhusu huyu mtangazaji yupo wapi hivi sasa, mbona kimya kabisa?
Kwa namna navyomjua Nyaisanga napata tabu kidogo na kuchelea kuamini kuwa ameacha hata 'wanawake'. Labda pombe na sigara naweza kuamini.nasikia amesilimu kaacha pombe, wanawake na sigara
yuko abood media ya morogoro
Kitu ambacho ni ukweli kabisa kaacha ni sigara. Pombe sio lazima iwe kaacha, bali watangazaji hununuliwa sana pombe na mashabiki wao, wakiendekeza ndio huishia kuwa walevi.Kwa namna navyomjua Nyaisanga napata tabu kidogo na kuchelea kuamini kuwa ameacha hata 'wanawake'. Labda pombe na sigara naweza kuamini.
huyu anasema wikiendi anapatikana calabash dar sasa weekdays si itakuwa pale chipukizi? Na pale milupo ipo kila dizaini.fegi na mitungi vyote available.tena ni jirani na ofisi za bosi wake..yuko abood media ya morogoro