MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Zipe nyama tuhuma! wengine meno hatuna mifziupa hatuiwezi!
Rweyunga aliposimamishwa kutangaza baada ya kutapikia makaratasi ya taarifa habari kutokana na kupiga kilevi kupita kiasi alipiga magoti sana akarudi ITV baada ya kuwa nje kwa muda mrefu.
Lakini Rweyunga alichangia sana Nyaisanga kuondoka ITV na hadi anahamia Abood TV walikuwa paka na panya kutokana na mambo aliyofanyiwa. Leo Nyaisanga kafia ukimbizini unasemaje Rweyunga hajachangia