Julius Mtatiro: Ndugu zangu watanzania, hakuna aliye salama

Wananchi ndio wameshika usukani wa kukatisha tamaa mlio mstari wa mbele. Haiwezekani mtu anatandikwa risasi mchana kweupe halafu tupo kimya tu
Katika hili naomba nitofautiane nawe kidogo. Ni kweli wananchi wanakatisha tamaa, lakini ni kwa nini wanakatisha tamaa?

Kwa mtazamo wangu urafiki hauji wakati wa shida bali wakati wa raha na kwenye shida ni kusaidiana. Tatizo kuna watu wanataka kuwa wao ndiyo "wakombozi" na si viongozi wa ukombozi.

Kama tunataka kuwa na kundi kubwa nyuma yetu la watu wasiokata tamaa ni lazima wawe marafiki zetu wakati sisi tuna raha na wao wana shida. Kwa mfano Watu hawapandishwi madaraja, hawaongezwi mishahara, wamefukuzwa kazi mikono mitupu baada ya kufanya utumishi wa umma kwa zaidi ya miaka Kumi ama Ishirini, hao "wakombozi" walifanya nini?
 
Hawa wanaoshabikia huu udhalimu leo baada ya miaka 10 udhalimu ukiwa umestawi wao watakuwa wamegeuka kuwa wanaharakati wakuu tena harakati watakuwa wanazifanyia nje ya nchi maana hii nchi itakuwa imepoteza kabisa demokrasia hii kiduchu iliyopo
 
Wanasiasa wanabadilika kulingana na mahitaji yao


Leo utaambiwa dikiteta

Kesho bora yule dikiteta

Ukweli wa Tanzania na watanzania wake ni kuacha siasa za kudandia na huwa na siasa zinazo lenga jambo fulan na kulisimamia


Leo tunapigania demokrasia

Kesho kiongozi wa nchi akibadili gia

Titajikuta tunapigania kwenda UN

akibadika tena tutajikuta tunarudi kusema ni fisadi


Tuwe na hoja tunazo simamia

Katiba mpya

Katiba inaweza kutupa demokrasia ya kuhakika na maendeleo endelevu nje na hapo tutakuawa wapiga zumuri
 
Sawa misemo yako yote lengo ni kushika dola muendeleze haya yaliyopo kwa staili nyingine lakini lengo lenu wanasiasa ni moja,tumeona mifano kwa nchi nyingi tu za kiafrica
 
Naomba niwe mkweli kwenye hili...kati ya Wabunge niliokuwa nawaamini ni wajasiri mbele ya Jeshi la POLISI ni LEMA....ila leo kaniacha mdomo wazi...kwanini kanishtua...
Leo nilikuwa nategemea jamaa angekuwa mstari wa mbele pale kisutu kuwapa makamanda moyo...Lakini cha ajabu BAADA YA KUSIKIA ETI ANATAFUTWA KUUNGANISHWA NA KINA MBOWE jamaa akalala mbele sasa ili kuonyesha unafiki wake kwa makamanda waliopo uraiani aka ORGANIZE mpango wa kuomba kwenda kukutanisha wabunge wa UPINZANI kwenye ofisi za EU.....
Sasa hapa tujiulize kama LEMA tu tunaemuona ni KAKSI ndani ya CHADEMA kalikimbia JESHI LA POLISI tena kwa KUHISI anatafutwa JE NYIE WA..APUZI humu mna sapoti 26/04...Vpi mkikutana na POLISI siku hiyo?....ISIKIENI TU MAHABUSU hata KINA MBOWE wakitoka huko wanaweza wasiwavuje moyo makamnda lakini ndani ya NAFSI zao kamwe hawata taka thubutu kurudi huko ambapo juzi mpaka hyo tarehe 3 watakuwa wanaonja UCHUNGU WA MAHABUSU makusudi kabsa...NDIO MAANA LEMA amekuwa na heshima siku hizi mbele ya JESHI LA POLISI mmana hata kwa hisia tu huyo UVUNGUNI mwa EU...
Nawashauri tu wale marofa wenzangu msidanganywe na hawa kina LEMA leo wamewadhihilishia ya kuwa WAKIHARIBU wao wana sehemu pa kujifichia KWA WAZUNGU WAO..vipi kuhusu nyie mtajificha wapi?...Bila shaka mtakuwa na hiyo sehemu maalumu mkijilaumu....
Kumbe unajua kwamba mabavu yanatumika ili kunyamazisha harakati
Haya bana waache waendelee kuburuza RAIA ila muda utaongea
 
Heheee hee maneno mujarabu sana haya"" hata kina lugalo mkwawa ..na kinjekile ngwale "" walipokuwa wanapigana na wakoloni kwaajili ya uhuru wa mtanganyika "" wapo watangjanyika waliokuwa wanawabeza "" lakini hawakuona woga wakuziweka roho zao rehani ili vijukuu na vitukuu vyao vije kuishi kwenye nchi isiyo na mabeberu wa kikoloni""" ijpokuwa walifikwa na mauti kwaajili ya kuipigania haki "" lakini walijua kuwa wanaondoka huku wakiwa wamepandikiza mbegu za ukombovu kwa vijana wazalendo wa wakati huo""" baada ya miaka kadhaa tangu wafikwe na mauti ndoto zao zinakuja kutimia kwakupitia harakati za vijana kama mwalimu nyerere ""waliorithi mbegu hizo nakuhkikirsha wanamtoa mkoloni""

IPO siku tu wakati utaongea na kutoa hukumu YAKE """ hakuna marefu yasiyo na ukingo """
Unajua kinjekitile ni babu yangu
 
Well said Mtatiro, vibaraka,wasaliti watakuwepo daima.Ibilisi anawapa roho ngumu haya machungu yatokee,kukomaza hasira ili wakati ukifika yatimie.
 
Mtatiro? Ndio mbolea ya wapi hiyo? Aaah, yule aliyewahi kuwa waziri mkuu wa wanafunzi eeenh? Yule aliyeshindwa ubunge mara mbili? Anayetaka kugombea urais kupitia chama cha wananchi, CUF? Au Mtatiro yupi?
 
Siku zote fisadi akibanwa huwa wanaandika Uzi kama huu mbona sisi tunaishi vizuri sana tena kuna usawa kwa watu wote ,haki kwa watu wote,ila fisadi akikosa pakutokea wanaandika Uzi kama huu
Tutaona kama utaishi vizuri

Muue ndugu zetu mseme mnaishi vizuri etiii
 
waasi ndani ya Taifa ndio chanzo cha kupotea usalama!
Hamna namna inabidi utete tuu huku nafsi ina kusuta.siamini kama mungu ndiyo alikupa akiliyo hiyo ila njaa na roho mbaya inakusumbua "god bless our country"
 
  • Thanks
Reactions: AWM
Siku zote fisadi akibanwa huwa wanaandika Uzi kama huu mbona sisi tunaishi vizuri sana tena kuna usawa kwa watu wote ,haki kwa watu wote,ila fisadi akikosa pakutokea wanaandika Uzi kama huu
Embu tuambie fisadi yupi huyo amebanwa?!
 
Naomba niwe mkweli kwenye hili...kati ya Wabunge niliokuwa nawaamini ni wajasiri mbele ya Jeshi la POLISI ni LEMA....ila leo kaniacha mdomo wazi...kwanini kanishtua...
Leo nilikuwa nategemea jamaa angekuwa mstari wa mbele pale kisutu kuwapa makamanda moyo...Lakini cha ajabu BAADA YA KUSIKIA ETI ANATAFUTWA KUUNGANISHWA NA KINA MBOWE jamaa akalala mbele sasa ili kuonyesha unafiki wake kwa makamanda waliopo uraiani aka ORGANIZE mpango wa kuomba kwenda kukutanisha wabunge wa UPINZANI kwenye ofisi za EU.....
Sasa hapa tujiulize kama LEMA tu tunaemuona ni KAKSI ndani ya CHADEMA kalikimbia JESHI LA POLISI tena kwa KUHISI anatafutwa JE NYIE WA..APUZI humu mna sapoti 26/04...Vpi mkikutana na POLISI siku hiyo?....ISIKIENI TU MAHABUSU hata KINA MBOWE wakitoka huko wanaweza wasiwavuje moyo makamnda lakini ndani ya NAFSI zao kamwe hawata taka thubutu kurudi huko ambapo juzi mpaka hyo tarehe 3 watakuwa wanaonja UCHUNGU WA MAHABUSU makusudi kabsa...NDIO MAANA LEMA amekuwa na heshima siku hizi mbele ya JESHI LA POLISI mmana hata kwa hisia tu huyo UVUNGUNI mwa EU...
Nawashauri tu wale marofa wenzangu msidanganywe na hawa kina LEMA leo wamewadhihilishia ya kuwa WAKIHARIBU wao wana sehemu pa kujifichia KWA WAZUNGU WAO..vipi kuhusu nyie mtajificha wapi?...Bila shaka mtakuwa na hiyo sehemu maalumu mkijilaumu....

Wewe pia najua huna wasiwasi maana utaenda kujificha ikulu, au kwa Makonda ama kwa IGP Sirro. Sawa ndugu yangu. Tamba hapa, kejeli upendavyo. Ni kweli kabisa usemavyo kwamba kuna wengi wataumizwa na polisi na huko mahabusu ni pabaya. Je iwapo maandamano hayo yatavurugwa kutoka kuwa ya amani mpaka wananchi kuona bora wajihami ni kipi kitatokea? Kama yatageuka kuwa mapambano umewahi kujiuliza nyie ambao mnatamba kisa jeshi linawatii mtaishi vipi? Bora wapinzani kufanyiwa madhila wameshazoea, je nyie mnaowafanyia hila wapinzani kwa uratibu wa jeshi la polisi mtaweza maisha bila hiyo mbeleko?
 
Back
Top Bottom