Julius Mtatiro: Ndugu zangu watanzania, hakuna aliye salama

UJUMBE WANGU WA LEO KWENU.

Ndugu zangu watanzania hakuna aliye salama, hayupo! Si mwanasiasa wa upinzani, si mfanyakazi, si mkulima, si bodaboda, si tajiri wala masikini, siyo kiongozi wa dini au wa kijamii, si aliyeko mjini au kijijini.

Pona pona yetu ya peke yake ni kutumia haki zetu za kikatiba kupinga udhalimu, uonevu, ukoloni, ubwana, unyanyasaji, matumizi mabaya ya madaraka na kila aina ya uovu.

Yes, wapo wale wenzangu na mimi watakaotuponda usiku na mchana, lakini kazi ya kupigania haki za nchi yetu itawafaa hao watuchekao na vizazi vyao. Usimsikilize mtu anayekuponda na kukucheka kwa kupigania demokrasia, utawala wa kikatiba na kisheria kwenye nchi yetun

Uhuru wetu tulioupata mwaka 1961 ulipiganiwa ili wazungu wasituonee, wasitunyanyase, wasitukoloni, wasitudhulumu, wasitumie madaraka yao vibaya juu yetu na wasitukataze kulinda utu wetu.

Kama ni maendeleo wakoloni pia waliyaleta, walijenga reli, barabara, viwanda, shule, maofisi n.k. Wakoloni waliyafanya hayo si kwa sababu walikuwa wanatupa hisani, NO! ilikuwa ni kazi yao na jukumu lao. Walikuwa hawatoi pesa zao mifukoni, zilikuwa ni kodi zetu.

Pamoja na yale yote wakoloni waliyofanya wakasema ni maendeleo, bado tuliwatoa madarakani, tukasema tujitawale. Kujitawala kwetu kuna maana kusiwe na mtu anayetudhulumu, kutudhalimu, kutuonea, kutunyanyasa, kututishia jela, kutuzuia tusiseme, kutuua n.k.

Kujitawala kwetu kuwe na maana ya kulinda utu, haki, usawa, demokrasia, utawala bora, utii wa sheria na katiba na mgawanyo wa madaraka kati ya serikali, bunge na mahakama.

Ikija serikali yoyote hata kama ingalijenga viwanda vikubwa 1000 vyenye mtaji na hadhi ya kiwanda cha Dangote Mtwara (Tshs Trilioni 1), viwanda hivyo visingalikuwa na maana, ufahari, umuhimu wala tija yoyote kwenye maisha yetu ikiwa uhuru na haki zetu vinakanyagwa hadharani

Katika maisha hakuna EXCUSE yoyote ya "nakuua kwa sababu nakujengea viwanda", "sitaki ukusanyike, ufanye mkutano au uandamane kwa sababu natoa elimu bure", "sitaki uwe na uhuru wa kumsema Rais kwa sababu yeye anapambana na ufisadi...." There is no any excuse when WE THE PEOPLE are exercising our constitutional rights... There is no any excuse, I repeat!

Ndiyo maana nataka kuwaambia kuwa mapambano ya kudai haki za kikatiba katika nchi yetu ni endelevu, hayatajali kama Mbowe yuko jela au kwake, hayatajali ikiwa Maalim Seif yuko madarakani au ameporwa ushindi, hayatajali ikiwa Zitto yuko salama au yuko hatarini. Mapambano haya hayajali chochote.

Mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika hayakujali kama Nyerere angalikuwepo au asingalikuwepo. Mapambano ya kuwafikisha wana wa Israel nchi ya ahadi hayakujali kama Musa atakuwepo au hatakuwepo...hata bila uwepo wa Musa wana wa Israel walivuka vizingiti vyote na kufika kwenye nchi ya ahadi.

Hadi sasa sijaona ni nini au nini nani atakayewazuia watanzania kulifanya taifa lao kuwa la haki, usawa, utu, demokrasia, utawala bora, ukuu wa katiba na sheria na kila aina ya ndoto za watanzania wenye nia njema.

Jela si kikwazo, Kutekwa si kikwazo, kuuawa si kikwazo, kufunga vyama vyote vya upinzani au kuviua kwa maguvu na mikono ya dola si kikwazo..sioni kikwazo.

Kwa kadri viongozi wanavyoswekwa rumande na jela kwa sababu za kimakusudi ndivyo taifa letu linavyozidi kuwa imara, ndivyo wapigania mabadiliko wanazidi kupata ari mpya na nguvu kubwa na ndivyo hata waliokuwa wanatucheka wanakuja kuungana nasi.

Nataka kuwaambia kuwa safari inaweza kuwa ndefu lakini lazima tufike. Na tutafika ikiwezekana hata kama walioianzisha watakuwa magerezani na makaburini na haitajalisha nani atakuwepo. Tutakwenda mbele!

Mtatiro J
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi,
The Civic United Front,
29 Machi 2018.
Repeat again. tata muraaaa!
 
Kazi kweli kweli. Ni vigumu kuhisi nini kilichowapata. Ni njaa, nishinikizo,rushwa hakuna siri tutajua.
 
UJUMBE WANGU WA LEO KWENU.

Ndugu zangu watanzania hakuna aliye salama, hayupo! Si mwanasiasa wa upinzani, si mfanyakazi, si mkulima, si bodaboda, si tajiri wala masikini, siyo kiongozi wa dini au wa kijamii, si aliyeko mjini au kijijini.

Pona pona yetu ya peke yake ni kutumia haki zetu za kikatiba kupinga udhalimu, uonevu, ukoloni, ubwana, unyanyasaji, matumizi mabaya ya madaraka na kila aina ya uovu.

Yes, wapo wale wenzangu na mimi watakaotuponda usiku na mchana, lakini kazi ya kupigania haki za nchi yetu itawafaa hao watuchekao na vizazi vyao. Usimsikilize mtu anayekuponda na kukucheka kwa kupigania demokrasia, utawala wa kikatiba na kisheria kwenye nchi yetun

Uhuru wetu tulioupata mwaka 1961 ulipiganiwa ili wazungu wasituonee, wasitunyanyase, wasitukoloni, wasitudhulumu, wasitumie madaraka yao vibaya juu yetu na wasitukataze kulinda utu wetu.

Kama ni maendeleo wakoloni pia waliyaleta, walijenga reli, barabara, viwanda, shule, maofisi n.k. Wakoloni waliyafanya hayo si kwa sababu walikuwa wanatupa hisani, NO! ilikuwa ni kazi yao na jukumu lao. Walikuwa hawatoi pesa zao mifukoni, zilikuwa ni kodi zetu.

Pamoja na yale yote wakoloni waliyofanya wakasema ni maendeleo, bado tuliwatoa madarakani, tukasema tujitawale. Kujitawala kwetu kuna maana kusiwe na mtu anayetudhulumu, kutudhalimu, kutuonea, kutunyanyasa, kututishia jela, kutuzuia tusiseme, kutuua n.k.

Kujitawala kwetu kuwe na maana ya kulinda utu, haki, usawa, demokrasia, utawala bora, utii wa sheria na katiba na mgawanyo wa madaraka kati ya serikali, bunge na mahakama.

Ikija serikali yoyote hata kama ingalijenga viwanda vikubwa 1000 vyenye mtaji na hadhi ya kiwanda cha Dangote Mtwara (Tshs Trilioni 1), viwanda hivyo visingalikuwa na maana, ufahari, umuhimu wala tija yoyote kwenye maisha yetu ikiwa uhuru na haki zetu vinakanyagwa hadharani

Katika maisha hakuna EXCUSE yoyote ya "nakuua kwa sababu nakujengea viwanda", "sitaki ukusanyike, ufanye mkutano au uandamane kwa sababu natoa elimu bure", "sitaki uwe na uhuru wa kumsema Rais kwa sababu yeye anapambana na ufisadi...." There is no any excuse when WE THE PEOPLE are exercising our constitutional rights... There is no any excuse, I repeat!

Ndiyo maana nataka kuwaambia kuwa mapambano ya kudai haki za kikatiba katika nchi yetu ni endelevu, hayatajali kama Mbowe yuko jela au kwake, hayatajali ikiwa Maalim Seif yuko madarakani au ameporwa ushindi, hayatajali ikiwa Zitto yuko salama au yuko hatarini. Mapambano haya hayajali chochote.

Mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika hayakujali kama Nyerere angalikuwepo au asingalikuwepo. Mapambano ya kuwafikisha wana wa Israel nchi ya ahadi hayakujali kama Musa atakuwepo au hatakuwepo...hata bila uwepo wa Musa wana wa Israel walivuka vizingiti vyote na kufika kwenye nchi ya ahadi.

Hadi sasa sijaona ni nini au nini nani atakayewazuia watanzania kulifanya taifa lao kuwa la haki, usawa, utu, demokrasia, utawala bora, ukuu wa katiba na sheria na kila aina ya ndoto za watanzania wenye nia njema.

Jela si kikwazo, Kutekwa si kikwazo, kuuawa si kikwazo, kufunga vyama vyote vya upinzani au kuviua kwa maguvu na mikono ya dola si kikwazo..sioni kikwazo.

Kwa kadri viongozi wanavyoswekwa rumande na jela kwa sababu za kimakusudi ndivyo taifa letu linavyozidi kuwa imara, ndivyo wapigania mabadiliko wanazidi kupata ari mpya na nguvu kubwa na ndivyo hata waliokuwa wanatucheka wanakuja kuungana nasi.

Nataka kuwaambia kuwa safari inaweza kuwa ndefu lakini lazima tufike. Na tutafika ikiwezekana hata kama walioianzisha watakuwa magerezani na makaburini na haitajalisha nani atakuwepo. Tutakwenda mbele!

Mtatiro J
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi,
The Civic United Front,
29 Machi 2018.
Unakwama!
 
UJUMBE WANGU WA LEO KWENU.

Ndugu zangu watanzania hakuna aliye salama, hayupo! Si mwanasiasa wa upinzani, si mfanyakazi, si mkulima, si bodaboda, si tajiri wala masikini, siyo kiongozi wa dini au wa kijamii, si aliyeko mjini au kijijini.

Pona pona yetu ya peke yake ni kutumia haki zetu za kikatiba kupinga udhalimu, uonevu, ukoloni, ubwana, unyanyasaji, matumizi mabaya ya madaraka na kila aina ya uovu.

Yes, wapo wale wenzangu na mimi watakaotuponda usiku na mchana, lakini kazi ya kupigania haki za nchi yetu itawafaa hao watuchekao na vizazi vyao. Usimsikilize mtu anayekuponda na kukucheka kwa kupigania demokrasia, utawala wa kikatiba na kisheria kwenye nchi yetun

Uhuru wetu tulioupata mwaka 1961 ulipiganiwa ili wazungu wasituonee, wasitunyanyase, wasitukoloni, wasitudhulumu, wasitumie madaraka yao vibaya juu yetu na wasitukataze kulinda utu wetu.

Kama ni maendeleo wakoloni pia waliyaleta, walijenga reli, barabara, viwanda, shule, maofisi n.k. Wakoloni waliyafanya hayo si kwa sababu walikuwa wanatupa hisani, NO! ilikuwa ni kazi yao na jukumu lao. Walikuwa hawatoi pesa zao mifukoni, zilikuwa ni kodi zetu.

Pamoja na yale yote wakoloni waliyofanya wakasema ni maendeleo, bado tuliwatoa madarakani, tukasema tujitawale. Kujitawala kwetu kuna maana kusiwe na mtu anayetudhulumu, kutudhalimu, kutuonea, kutunyanyasa, kututishia jela, kutuzuia tusiseme, kutuua n.k.

Kujitawala kwetu kuwe na maana ya kulinda utu, haki, usawa, demokrasia, utawala bora, utii wa sheria na katiba na mgawanyo wa madaraka kati ya serikali, bunge na mahakama.

Ikija serikali yoyote hata kama ingalijenga viwanda vikubwa 1000 vyenye mtaji na hadhi ya kiwanda cha Dangote Mtwara (Tshs Trilioni 1), viwanda hivyo visingalikuwa na maana, ufahari, umuhimu wala tija yoyote kwenye maisha yetu ikiwa uhuru na haki zetu vinakanyagwa hadharani

Katika maisha hakuna EXCUSE yoyote ya "nakuua kwa sababu nakujengea viwanda", "sitaki ukusanyike, ufanye mkutano au uandamane kwa sababu natoa elimu bure", "sitaki uwe na uhuru wa kumsema Rais kwa sababu yeye anapambana na ufisadi...." There is no any excuse when WE THE PEOPLE are exercising our constitutional rights... There is no any excuse, I repeat!

Ndiyo maana nataka kuwaambia kuwa mapambano ya kudai haki za kikatiba katika nchi yetu ni endelevu, hayatajali kama Mbowe yuko jela au kwake, hayatajali ikiwa Maalim Seif yuko madarakani au ameporwa ushindi, hayatajali ikiwa Zitto yuko salama au yuko hatarini. Mapambano haya hayajali chochote.

Mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika hayakujali kama Nyerere angalikuwepo au asingalikuwepo. Mapambano ya kuwafikisha wana wa Israel nchi ya ahadi hayakujali kama Musa atakuwepo au hatakuwepo...hata bila uwepo wa Musa wana wa Israel walivuka vizingiti vyote na kufika kwenye nchi ya ahadi.

Hadi sasa sijaona ni nini au nini nani atakayewazuia watanzania kulifanya taifa lao kuwa la haki, usawa, utu, demokrasia, utawala bora, ukuu wa katiba na sheria na kila aina ya ndoto za watanzania wenye nia njema.

Jela si kikwazo, Kutekwa si kikwazo, kuuawa si kikwazo, kufunga vyama vyote vya upinzani au kuviua kwa maguvu na mikono ya dola si kikwazo..sioni kikwazo.

Kwa kadri viongozi wanavyoswekwa rumande na jela kwa sababu za kimakusudi ndivyo taifa letu linavyozidi kuwa imara, ndivyo wapigania mabadiliko wanazidi kupata ari mpya na nguvu kubwa na ndivyo hata waliokuwa wanatucheka wanakuja kuungana nasi.

Nataka kuwaambia kuwa safari inaweza kuwa ndefu lakini lazima tufike. Na tutafika ikiwezekana hata kama walioianzisha watakuwa magerezani na makaburini na haitajalisha nani atakuwepo. Tutakwenda mbele!

Mtatiro J
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi,
The Civic United Front,
29 Machi 2018.
Mh.Mkuu wa wilaya
Umeyasaliti maneno yako,umeungana na uliyokuwa unayakata.
Hukumu ya wasaliti....
 
Aswaaaa hata mie ningefanya hivohivo
Huyu Mtatiro nampongeza kwa kuwa na Akili kama zangu!
Kwa Akili zangu Siku zote "MONEY FIRST, MENGINE YATAFUATA".

Naona Mtatiro kakubali kuwa Money First.

Piga Hela bro hata kama Kitakuja chama cha Panya Road ikiwa hela ipo basi wewe jiunge tu upige hela.
 
UJUMBE WANGU WA LEO KWENU.

Ndugu zangu watanzania hakuna aliye salama, hayupo! Si mwanasiasa wa upinzani, si mfanyakazi, si mkulima, si bodaboda, si tajiri wala masikini, siyo kiongozi wa dini au wa kijamii, si aliyeko mjini au kijijini.

Pona pona yetu ya peke yake ni kutumia haki zetu za kikatiba kupinga udhalimu, uonevu, ukoloni, ubwana, unyanyasaji, matumizi mabaya ya madaraka na kila aina ya uovu.

Yes, wapo wale wenzangu na mimi watakaotuponda usiku na mchana, lakini kazi ya kupigania haki za nchi yetu itawafaa hao watuchekao na vizazi vyao. Usimsikilize mtu anayekuponda na kukucheka kwa kupigania demokrasia, utawala wa kikatiba na kisheria kwenye nchi yetun

Uhuru wetu tulioupata mwaka 1961 ulipiganiwa ili wazungu wasituonee, wasitunyanyase, wasitukoloni, wasitudhulumu, wasitumie madaraka yao vibaya juu yetu na wasitukataze kulinda utu wetu.

Kama ni maendeleo wakoloni pia waliyaleta, walijenga reli, barabara, viwanda, shule, maofisi n.k. Wakoloni waliyafanya hayo si kwa sababu walikuwa wanatupa hisani, NO! ilikuwa ni kazi yao na jukumu lao. Walikuwa hawatoi pesa zao mifukoni, zilikuwa ni kodi zetu.

Pamoja na yale yote wakoloni waliyofanya wakasema ni maendeleo, bado tuliwatoa madarakani, tukasema tujitawale. Kujitawala kwetu kuna maana kusiwe na mtu anayetudhulumu, kutudhalimu, kutuonea, kutunyanyasa, kututishia jela, kutuzuia tusiseme, kutuua n.k.

Kujitawala kwetu kuwe na maana ya kulinda utu, haki, usawa, demokrasia, utawala bora, utii wa sheria na katiba na mgawanyo wa madaraka kati ya serikali, bunge na mahakama.

Ikija serikali yoyote hata kama ingalijenga viwanda vikubwa 1000 vyenye mtaji na hadhi ya kiwanda cha Dangote Mtwara (Tshs Trilioni 1), viwanda hivyo visingalikuwa na maana, ufahari, umuhimu wala tija yoyote kwenye maisha yetu ikiwa uhuru na haki zetu vinakanyagwa hadharani

Katika maisha hakuna EXCUSE yoyote ya "nakuua kwa sababu nakujengea viwanda", "sitaki ukusanyike, ufanye mkutano au uandamane kwa sababu natoa elimu bure", "sitaki uwe na uhuru wa kumsema Rais kwa sababu yeye anapambana na ufisadi...." There is no any excuse when WE THE PEOPLE are exercising our constitutional rights... There is no any excuse, I repeat!

Ndiyo maana nataka kuwaambia kuwa mapambano ya kudai haki za kikatiba katika nchi yetu ni endelevu, hayatajali kama Mbowe yuko jela au kwake, hayatajali ikiwa Maalim Seif yuko madarakani au ameporwa ushindi, hayatajali ikiwa Zitto yuko salama au yuko hatarini. Mapambano haya hayajali chochote.

Mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika hayakujali kama Nyerere angalikuwepo au asingalikuwepo. Mapambano ya kuwafikisha wana wa Israel nchi ya ahadi hayakujali kama Musa atakuwepo au hatakuwepo...hata bila uwepo wa Musa wana wa Israel walivuka vizingiti vyote na kufika kwenye nchi ya ahadi.

Hadi sasa sijaona ni nini au nini nani atakayewazuia watanzania kulifanya taifa lao kuwa la haki, usawa, utu, demokrasia, utawala bora, ukuu wa katiba na sheria na kila aina ya ndoto za watanzania wenye nia njema.

Jela si kikwazo, Kutekwa si kikwazo, kuuawa si kikwazo, kufunga vyama vyote vya upinzani au kuviua kwa maguvu na mikono ya dola si kikwazo..sioni kikwazo.

Kwa kadri viongozi wanavyoswekwa rumande na jela kwa sababu za kimakusudi ndivyo taifa letu linavyozidi kuwa imara, ndivyo wapigania mabadiliko wanazidi kupata ari mpya na nguvu kubwa na ndivyo hata waliokuwa wanatucheka wanakuja kuungana nasi.

Nataka kuwaambia kuwa safari inaweza kuwa ndefu lakini lazima tufike. Na tutafika ikiwezekana hata kama walioianzisha watakuwa magerezani na makaburini na haitajalisha nani atakuwepo. Tutakwenda mbele!

Mtatiro J
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi,
The Civic United Front,
29 Machi 2018.
Mkuu hii ilikuwa kabla ya kulamba asali
 
UJUMBE WANGU WA LEO KWENU.

Ndugu zangu watanzania hakuna aliye salama, hayupo! Si mwanasiasa wa upinzani, si mfanyakazi, si mkulima, si bodaboda, si tajiri wala masikini, siyo kiongozi wa dini au wa kijamii, si aliyeko mjini au kijijini.

Pona pona yetu ya peke yake ni kutumia haki zetu za kikatiba kupinga udhalimu, uonevu, ukoloni, ubwana, unyanyasaji, matumizi mabaya ya madaraka na kila aina ya uovu.

Yes, wapo wale wenzangu na mimi watakaotuponda usiku na mchana, lakini kazi ya kupigania haki za nchi yetu itawafaa hao watuchekao na vizazi vyao. Usimsikilize mtu anayekuponda na kukucheka kwa kupigania demokrasia, utawala wa kikatiba na kisheria kwenye nchi yetun

Uhuru wetu tulioupata mwaka 1961 ulipiganiwa ili wazungu wasituonee, wasitunyanyase, wasitukoloni, wasitudhulumu, wasitumie madaraka yao vibaya juu yetu na wasitukataze kulinda utu wetu.

Kama ni maendeleo wakoloni pia waliyaleta, walijenga reli, barabara, viwanda, shule, maofisi n.k. Wakoloni waliyafanya hayo si kwa sababu walikuwa wanatupa hisani, NO! ilikuwa ni kazi yao na jukumu lao. Walikuwa hawatoi pesa zao mifukoni, zilikuwa ni kodi zetu.

Pamoja na yale yote wakoloni waliyofanya wakasema ni maendeleo, bado tuliwatoa madarakani, tukasema tujitawale. Kujitawala kwetu kuna maana kusiwe na mtu anayetudhulumu, kutudhalimu, kutuonea, kutunyanyasa, kututishia jela, kutuzuia tusiseme, kutuua n.k.

Kujitawala kwetu kuwe na maana ya kulinda utu, haki, usawa, demokrasia, utawala bora, utii wa sheria na katiba na mgawanyo wa madaraka kati ya serikali, bunge na mahakama.

Ikija serikali yoyote hata kama ingalijenga viwanda vikubwa 1000 vyenye mtaji na hadhi ya kiwanda cha Dangote Mtwara (Tshs Trilioni 1), viwanda hivyo visingalikuwa na maana, ufahari, umuhimu wala tija yoyote kwenye maisha yetu ikiwa uhuru na haki zetu vinakanyagwa hadharani

Katika maisha hakuna EXCUSE yoyote ya "nakuua kwa sababu nakujengea viwanda", "sitaki ukusanyike, ufanye mkutano au uandamane kwa sababu natoa elimu bure", "sitaki uwe na uhuru wa kumsema Rais kwa sababu yeye anapambana na ufisadi...." There is no any excuse when WE THE PEOPLE are exercising our constitutional rights... There is no any excuse, I repeat!

Ndiyo maana nataka kuwaambia kuwa mapambano ya kudai haki za kikatiba katika nchi yetu ni endelevu, hayatajali kama Mbowe yuko jela au kwake, hayatajali ikiwa Maalim Seif yuko madarakani au ameporwa ushindi, hayatajali ikiwa Zitto yuko salama au yuko hatarini. Mapambano haya hayajali chochote.

Mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika hayakujali kama Nyerere angalikuwepo au asingalikuwepo. Mapambano ya kuwafikisha wana wa Israel nchi ya ahadi hayakujali kama Musa atakuwepo au hatakuwepo...hata bila uwepo wa Musa wana wa Israel walivuka vizingiti vyote na kufika kwenye nchi ya ahadi.

Hadi sasa sijaona ni nini au nini nani atakayewazuia watanzania kulifanya taifa lao kuwa la haki, usawa, utu, demokrasia, utawala bora, ukuu wa katiba na sheria na kila aina ya ndoto za watanzania wenye nia njema.

Jela si kikwazo, Kutekwa si kikwazo, kuuawa si kikwazo, kufunga vyama vyote vya upinzani au kuviua kwa maguvu na mikono ya dola si kikwazo..sioni kikwazo.

Kwa kadri viongozi wanavyoswekwa rumande na jela kwa sababu za kimakusudi ndivyo taifa letu linavyozidi kuwa imara, ndivyo wapigania mabadiliko wanazidi kupata ari mpya na nguvu kubwa na ndivyo hata waliokuwa wanatucheka wanakuja kuungana nasi.

Nataka kuwaambia kuwa safari inaweza kuwa ndefu lakini lazima tufike. Na tutafika ikiwezekana hata kama walioianzisha watakuwa magerezani na makaburini na haitajalisha nani atakuwepo. Tutakwenda mbele!

Mtatiro J
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi,
The Civic United Front,
29 Machi 2018.

Umeandika vyema. Haya na yakawekwe kwa vitendo. Watawala huelewa vitendo si maneno.
 
Back
Top Bottom